Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Pia inaweza kuwa saa 49 au 50Mbumbumbu bwana ndiyo mantiki gani hizi za uandishi? Zaidi ya saa 48 unamaanisha nini? Inaweza kuwa saa 72, 1000, 2000 nk nk.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia inaweza kuwa saa 49 au 50Mbumbumbu bwana ndiyo mantiki gani hizi za uandishi? Zaidi ya saa 48 unamaanisha nini? Inaweza kuwa saa 72, 1000, 2000 nk nk.
We inaonekana somo hili lilikupita.Et 22 kwa 21....! makolo mnajua saana kujitoa ufaham, basi tufanye Yanga anajumla ya mataji 10 kama mnaumia kuhusu mataji 28...! Tuombe uzima tu ligi ikianza msianze kutia tia huruma na lawama kibao .. Mm naomba angalau mlete ushindani msimu huu.. vinginevyo wembe ni ule ule Yanga atabeba mataji yote ya ndani na simba mtabaki kusema mliuza tiket zote kwenye bonanza, sijui group stage .. Yani mtatafuta saana faraja ila WAPI.. [emoji172][emoji169][emoji1665][emoji91]
Asante kwa kulijua hili[emoji4]View attachment 2707301
Mm ni YANGA kadi namba 257 ila simba mmeshindikana Jamani hakuna timu bora Afrika kama simba [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Wanaishia kukandiaKuna watu wameumia sana
Utopolo unaishi kwa kukariri . Utopolo hakuna chochote cha maana inachoizidi simba mpaka uiwekee dhamana kwa 100% kwamba wataendelea kuwa mabingwa.Et 22 kwa 21....! makolo mnajua saana kujitoa ufaham, basi tufanye Yanga anajumla ya mataji 10 kama mnaumia kuhusu mataji 28...! Tuombe uzima tu ligi ikianza msianze kutia tia huruma na lawama kibao .. Mm naomba angalau mlete ushindani msimu huu.. vinginevyo wembe ni ule ule Yanga atabeba mataji yote ya ndani na simba mtabaki kusema mliuza tiket zote kwenye bonanza, sijui group stage .. Yani mtatafuta saana faraja ila WAPI.. [emoji172][emoji169][emoji1665][emoji91]
Maskini wee. Nchi inamegwa vipande vipande kuuzwa wananchi wenyewe ndiyo hawa tumetekwa msukule kwenye kushabikia mipira ya timu zinazumiwa na magachori kutupumbaza. Mwafrika ni rahisi sana kudanganywa na vitu vidogo vidogo ili aliwe!View attachment 2707288
Historia mpya imeandikwa kwa tiketi zote kununuliwa siku tatu kabla ya SIMBA DAY.
Shukrani kwa mashabiki wote ambao wamenunua tiketi
Umeanza kushabikia mpira lini? Miaka minne mlisugua benchi misimu miwili tu mmeanza mbwembwe 😀😀😀 msimu huu tutawaoneshaBrother imeisha hiyo....! Ninyi kuhusu makombe mtasubiri saana..! Sis tukiwa tunabeba makombe, ninyi mtakua mnajisifia sijui Giant wa Africa ( Hata fainali hakuna )... Ni swala la muda na Afya njema tutashuhudia hapa
Kumbe ni buku 5 tu?Yanga lazima watoe kasoro tu
Utasikia oooh tiketi tsh 5000 utadhani wao walikatazwa kuweka hiyo 5000
Naona NHC nao wanapendekeza wageni wauziwe ardhi, tumekwishaMaskini wee. Nchi inamegwa vipande vipande kuuzwa wananchi wenyewe ndiyo hawa tumetekwa msukule kwenye kushabikia mipira ya timu zinazumiwa na magachori kutupumbaza. Mwafrika ni rahisi sana kudanganywa na vitu vidogo vidogo ili aliwe!
Sio zoteKumbe ni buku 5 tu?
Mafanikio ya Simba 2022/2023 ni kujaza Uwanja.Ficha upumbavu wako
Kujaza Uwanja kunakusaidia nini wewe mbumbumbu?ACHA UMAMA wewe makombe ya UTOKOLO yamekusaidia nini?
Mpira gharama kwasasa,bure ni zamani.Kuna faida gani sasa timu kuweka kiingilia kikubwa kiasi cha washabiki wake kushindwa kuingia.
Siku ya timu kwanza ilitakiwa kiingilio kiwe bure ila kwakuwa uwanja haitoshi timu lazima ipange kiingilio kinacho lipika.
Hongera sana Simba Sports Club na washabiki wake kwa kuujaza uwanja siku tatu kabla ya Tamasha.
WE MBWA mimi ndie wa kwanza kuuliza makombe yamekusaidia nini kwenye maisha yako ewe MBWA.Kujaza Uwanja kunakusaidia nini wewe mbumbumbu?