SIMBA imeweza kutengeneza historia mpya kwa kushinda mechi zote 11 za mzunguko wa kwanza na kufikisha pointi 33 katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Katika mechi yake ya 11 Simba ilipata ushindi mnono wa mabao 3-1 dhidi ya Mtibwa Sugar Jumapili iliyopita.
Source: www.nifahamishe.com
Katika mechi yake ya 11 Simba ilipata ushindi mnono wa mabao 3-1 dhidi ya Mtibwa Sugar Jumapili iliyopita.
Source: www.nifahamishe.com