uto wenye akili ni wawili tu
Acha tu, ndo kama hivi sasa wanatoa speech.uto wenye akili ni wawili tu
Makolo ni kikundi Cha wahuni .....Je mngecheza na mamelodi......si ndo mngekula 10[emoji32]View attachment 3097192
Inaseketesha ndo nini?Inaseketesha sana mkuu.....hamna timu pale ......wale wachezaji wapelekeni kulima mpunga
Anapiga mboyoyo tu hamna kituAcha tu, ndo kama hivi sasa wanatoa speech.
Acha mboyoyoMakolo hii aibu kubwa .....dk 90 bila shoot on target.[emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa uwanjani mlienda kufanya nn
Inaseketesha sana mkuu.....hamna timu pale ......wale wachezaji wapelekeni kulima mpunga
Lipa bill zako,peleka wanao out achana na pororojo za keyboard unafikiri defensive game madhala yake ni yepi.Ukistaajabu ya Musa ......utaona ya makolo
Hii ndio record iliyowekwa Jana na vijana wa mudi .....Baada ya mpira kuisha dk 90 bila hata Simba kupiga shoot lililo lenga lango ( on target)
Hii Ina maana Gani kiuchambuzi
Ni Kwamba Makolo wote walikuwa ma full beki......walienda kuzuia bila ya kufanya offensive attack
Ushauri wangu
Makolo waende pale jangwani then waombe review za mechi za shirikisho za Yanga ....Ili watoboe .....bila hivyo ....tutaendelea kumuonea mangungu
NB: CAF champions &. CAFCCL is not for everyone [emoji23]View attachment 3097189
Siku imepitaMakolo ni kikundi Cha wahuni .....Je mngecheza na mamelodi......si ndo mngekula 10[emoji32]View attachment 3097192
umeona sasa navyosema uto wenye akili ni wawili tu huwa namaanisha.Very very painful