Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Ukistaajabu ya Musa ......utaona ya makolo
Hii ndio record iliyowekwa Jana na vijana wa mudi .....Baada ya mpira kuisha dk 90 bila hata Simba kupiga shoot lililo lenga lango ( on target)
Hii Ina maana Gani kiuchambuzi
Ni Kwamba Makolo wote walikuwa ma full beki......walienda kuzuia bila ya kufanya offensive attack
Ushauri wangu
Makolo waende pale jangwani then waombe review za mechi za shirikisho za Yanga ....Ili watoboe .....bila hivyo ....tutaendelea kumuonea mangungu
NB: CAF champions &. CAFCCL is not for everyone [emoji23]
Hii ndio record iliyowekwa Jana na vijana wa mudi .....Baada ya mpira kuisha dk 90 bila hata Simba kupiga shoot lililo lenga lango ( on target)
Hii Ina maana Gani kiuchambuzi
Ni Kwamba Makolo wote walikuwa ma full beki......walienda kuzuia bila ya kufanya offensive attack
Ushauri wangu
Makolo waende pale jangwani then waombe review za mechi za shirikisho za Yanga ....Ili watoboe .....bila hivyo ....tutaendelea kumuonea mangungu
NB: CAF champions &. CAFCCL is not for everyone [emoji23]