Okay. Basi kwa niaba ya Wazaramo mnisamehe jamaani lol.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Halafu nyie Yanga nyie......basi tu ngoja niwaache kwa leoπππKazi mnayo. Hivyo hicho pia ni cha ajabu lol. Poleni Watani zangu.
Kwani ndio mmeizindua nyie ndege au watu walishaipanda? Wale wasemaje sasa. πππ
Hebuu πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Uje kuleee uniombe radhi kwa hiliHahahaaa. Sema wewe mwaya.
Na wanakutanaga wanafanana kila kitu.
(Mniwie radhi watani zangu ninaowaheshimu)
Hebu funguka mkuuYule mchafuzi wa vijana
π³π³π³π³ leo umekua Mtibwa tena Hajar?Hahahaaa. Wajiandae kisaikolojia aisee.
Mhhh! Wa Yanga wengi kumbe humu!π³π³π³Hahaaa. Tena Makubwa hasa.
Ndo na mimi nilikuwa nashangaa hapa wakato ilishazinduliwa na watu kitambooo hahhahaKazi mnayo. Hivyo hicho pia ni cha ajabu lol. Poleni Watani zangu.
Kwani ndio mmeizindua nyie ndege au watu walishaipanda? Wale wasemaje sasa. πππ
Hebuu πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Kwahyo wamepost insta!.bado tuna safari ndefu sana[QUOTEhata yanga ikitembeza bakuli kutokanana vyuma kukaza tutaipost insta
Watupishe sieeee. Eti hiyo pia ni ndege ya kuweka nayo rekodi. Khaaaa.Ndo na mimi nilikuwa nashangaa hapa wakato ilishazinduliwa na watu kitambooo hahhaha
Nipo aiseee. Mishe tu
π³π³π³[emoji23] [emoji23] [emoji23] hawana wajualo Watani zetu.
Hahaaa. Boora.Halafu nyie Yanga nyie......basi tu ngoja niwaache kwa leoπππ
ππππ pole SestenUje kuleee uniombe radhi kwa hili
Yaani na ubingwa wetu woote wa VPL bado unaleta maneno ya ukorofi na uchochezi!π‘ππ
Wengi SanaaaaaMhhh! Wa Yanga wengi kumbe humu!π³π³π³
Sitakiππππ pole Sesten