Atuletee linki hapa tumfuate msemaji wa duniaKama mtani anayo iko wapi?
Sisi wengine bado tuko bize tunamtambulisha straika wetu mpya wa majungu...Mkutano unaoendelea mda huu wa simba ni uzinduzi wa simba App ambapo kwa maelezo ya afisa habari wa simba amedai ni application ya kwanza japo kama sikosei mtani huwa anayo hii platform
Hipo mi nimewah kuiona na nilimuunganisha mtu pia wanalipia 1000huwa nasikia kuwa ipo ,
Atuletee linki hapa tumfuate msemaji wa dunia
Kama mtani anayo iko wapi?
Kama tulivyowaiga kwenda Morocco lakini hela zikatuishia tukarudi zetu kidimbwini kucheza chandimu na kina IHEFU...Hongereni, kuiga kitu kizuri ni jambo jema
Ya Utopolo inapatikana kwenye Simu za Tecno tu...huwa nasikia kuwa ipo ,
Haina haja kubishana na mbux3Kama tulivyowaiga kwenda Morocco lakini hela zikatuishia tukarudi zetu kidimbwini kucheza chandimu na kina IHEFU...
Comment kama hii inaonyesha kuwa wewe ni mmoja wa wale aliowasema AdenYa Utopolo inapatikana kwenye Simu za Tecno tu...
Na huwa haifunguki kama betri iko below 45% ukiwa bar unapiga ulabu...
babuuu babuuuuuuu