perfect_rahym Member Joined Mar 27, 2017 Posts 41 Reaction score 45 Apr 10, 2017 #1 Ngurumo zake ni zaidi ya Ngurumo zote uzijuazo wewe duniani swala kajipendekeza tumetafunaaaa
Jimmy George JF-Expert Member Joined Nov 28, 2016 Posts 1,733 Reaction score 1,648 Apr 10, 2017 #2 Kwa kweli Simba ni hatari
Man Thom JF-Expert Member Joined Jul 27, 2016 Posts 732 Reaction score 905 Apr 10, 2017 #3 Mkuu umenifurahisha sana...huyu mnyama ni hatareee sanaaaa, matokeo kama haya huwa yanafanywa na timu chache sana ulimwenguni, viva mnyamaaaaaaaa
Mkuu umenifurahisha sana...huyu mnyama ni hatareee sanaaaa, matokeo kama haya huwa yanafanywa na timu chache sana ulimwenguni, viva mnyamaaaaaaaa
DAFU NA NDIMU JF-Expert Member Joined Aug 20, 2016 Posts 3,497 Reaction score 5,090 Apr 10, 2017 #4 Mnaweza kuzitafuna mbao tu, miwa hadi FFT waikatekate na kuiweka mezani. Mnaweza kushindwa kuila Alhamisi pia.
Mnaweza kuzitafuna mbao tu, miwa hadi FFT waikatekate na kuiweka mezani. Mnaweza kushindwa kuila Alhamisi pia.
perfect_rahym Member Joined Mar 27, 2017 Posts 41 Reaction score 45 Apr 10, 2017 Thread starter #5 DAFU NA NDIMU said: Mnaweza kuzitafuna mbao tu, miwa hadi FFT waikatekate na kuiweka mezani. Mnaweza kushindwa kuila Alhamisi pia. Click to expand... Aaaah ile miwa haikuwa salama na ndio maana hatukuila
DAFU NA NDIMU said: Mnaweza kuzitafuna mbao tu, miwa hadi FFT waikatekate na kuiweka mezani. Mnaweza kushindwa kuila Alhamisi pia. Click to expand... Aaaah ile miwa haikuwa salama na ndio maana hatukuila
mkulu senkondo JF-Expert Member Joined Feb 19, 2017 Posts 1,862 Reaction score 3,574 Apr 10, 2017 #6 Tunataka point zetu za kagera over!!!
evonik JF-Expert Member Joined Jun 12, 2015 Posts 3,996 Reaction score 5,156 Apr 10, 2017 #7 Nasikia Leo wamekoswa kuzamishwa kule ziwan baada ya kufukuzwa na Walinz kule kagera kwenye mashamba ya miwa
Nasikia Leo wamekoswa kuzamishwa kule ziwan baada ya kufukuzwa na Walinz kule kagera kwenye mashamba ya miwa