Simbachawene atetea uamuzi wa kuzuia mikutano ya hadhara. Avuliwe Uwaziri!

Simbachawene atetea uamuzi wa kuzuia mikutano ya hadhara. Avuliwe Uwaziri!

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Waziri wa Nchi, Sera na Uratibu wa Bunge Simbachawene, ni miongoni mwa Mawaziri wa Serikali ya CCM ambaye anaonekana dhahiri kwamba hajaridhishwa na uamuzi wa kuondolewa kwa zuio batili la mikutano ya vyama vya siasa.

Amenukuliwa leo akitetea uamuzi ule wa kidikteta uliojaa uoga na ushamba kwamba ulikuwa halali kwa wakati ule, kwa vile serikali halali iliyochaguliwa na wananchi ilihitaji utulivu ili ilete maendeleo, kwake Simbachawene kuvunja Katiba ndio kuleta maendeleo, huyu ni Waziri, kwamba sasa hivi hawahitaji huo utulivu ili kuleta maendeleo?

Viongozi wanafiki na wanaotetea uovu kama huyu Simbachawene hawastahili kuwemo kwenye serikali za kileo, kwani ilikuwa lazima aropoke huo ujinga wake? Ni dhahiri kwamba huyu hajaridhishwa na uamuzi wa Rais, ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama chake, NASHAURI AVULIWE UWAZIRI HARAKA.

Nakala: Abdulrahman Kinana
 
Waziri wa nchi , sera na Uratibu wa bunge Simbachawene , ni miongoni mwa Mawaziri wa Serikali ya ccm ambaye anaonekana dhahiri kwamba hajaridhishwa na uamuzi wa Kuondolewa kwa zuio batili la mikutano ya vyama vya siasa .

Amenukuliwa leo akitetea uamuzi ule wa kidikteta uliojaa uoga na ushamba kwamba ulikuwa halali kwa wakati ule , kwa vile serikali halali iliyochaguliwa na wananchi ilihitaji utulivu ili ilete maendeleo , kwake Simbachawene kuvunja katiba ndio kuleta maendeleo , huyu ni Waziri , kwamba sasa hivi hawahitaji huo utulivu ili kuleta maendeleo ?

Viongozi wanafiki na wanaotetea uovu kama huyu Simbachawene hawastahili kuwemo kwenye serikali za kileo , kwani ilikuwa lazima aropoke huo ujinga wake ? ni dhahiri kwamba huyu hajaridhishwa na uamuzi wa Rais , ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama chake , NASHAURI AVULIWE UWAZIRI HARAKA

Nakala : Abdulrahman Kinana
Ina maana huyu chapombe anataka kupimana mbavu na mtukufu rais?
 
Waziri wa nchi , sera na Uratibu wa bunge Simbachawene , ni miongoni mwa Mawaziri wa Serikali ya ccm ambaye anaonekana dhahiri kwamba hajaridhishwa na uamuzi wa Kuondolewa kwa zuio batili la mikutano ya vyama vya siasa .

Amenukuliwa leo akitetea uamuzi ule wa kidikteta uliojaa uoga na ushamba kwamba ulikuwa halali kwa wakati ule , kwa vile serikali halali iliyochaguliwa na wananchi ilihitaji utulivu ili ilete maendeleo , kwake Simbachawene kuvunja katiba ndio kuleta maendeleo , huyu ni Waziri , kwamba sasa hivi hawahitaji huo utulivu ili kuleta maendeleo ?

Viongozi wanafiki na wanaotetea uovu kama huyu Simbachawene hawastahili kuwemo kwenye serikali za kileo , kwani ilikuwa lazima aropoke huo ujinga wake ? ni dhahiri kwamba huyu hajaridhishwa na uamuzi wa Rais , ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama chake , NASHAURI AVULIWE UWAZIRI HARAKA

Nakala : Abdulrahman Kinana
Mm kama ni amri yangu baada ya uchaguzi vyama vya siasa visifanye mikutano ya hadhara badala yake mikutano ya ndani iwe ruksa na ikifika mwaka mmoja kabla ya uchanguzi wowote ule mdogo na mkubwa iruhusiwe mikutano ya nje pia.
 
...Amesema uamuzi ulikuwa halali kwa wakati ule, naamini sasa anaona uamuzi uliochukuliwa na mwenyekiti wake ni sahihi pia, kwasababu hii serikali iliyopo madarakani "haikuchaguliwa na wananchi", kama ile ya wakati ule anayoona ilihitaji utulivu ili kufanya mambo yake.

Simply, Simbachawene anaamini hii serikali ya sasa inahitaji "vurugu za mikutano ya kisiasa" kwasababu haikuchaguliwa na wananchi, wacha kazi iendelee.
 
Kwa kelele hizi utadhani irrelevance ya vyama vya siasa vya upinzani ilisababishwa na zuio la Magufuli. Magufuli alichofanya kwa muda mfupi ni kutuonyesha rangi halisi za wanasiasa. Wawe wa upinzani, wawe wa CCM.

Mtu ka Lissu hivi hata baada ya kuruhusu mikutano ya hadhara ni kitu gani atasema ili watu tumchukulie serious?
 
Huyu waziri ana hangover ya ulevi wa madaraka aliokuwa nao enzi za jiwe. Mama anatakiwa ampumzishe akalee wajukuu na mwenzake Ndugai

Uamuzi wa kuzuia mikutano ya hadhara haukua wa Magufuli. Ulikuwa ni wa vikao vya juu vya CC mwishoni wakati JPM anaingia, ilionekana kuna haja wadhibitiwe kwa muda fulani mana uropokaji na upayukaji ulizidi na wakati huo huo chama chetu kilichokwa vibaya. Ndo mana mtaona Mkuu mpya alipoingia aliendelea na msimamo huo huo.

Sasa hivi mwanya umetolewa kwani kufuatia ripoti za Intel hali ya chama si mbaya na wamepangwa makada kujibu hoja ukizingatia miradi inatekelezwa.

Pia kuna ripoti kwamba ule upuuzi wa M4C na Digital ziko chali na hakuna chochote unaweza kuwaambia wananchi kuhusu wapinzani wakakuelewa. Eti wanaambiwa eti sasa mikutano imeeuhusiwa wanasimama na kupiga makofi!!! Wakati wanajua hiyo haki ilikuwepo tu kikatiba, haha
 
Mm kama ni amri yangu baada ya uchaguzi vyama vya siasa visifanye mikutano ya hadhara badala yake mikutano ya ndani iwe ruksa na ikifika mwaka mmoja kabla ya uchanguzi wowote ule mdogo na mkubwa iruhusiwe mikutano ya nje pia.
Hiyo ni police state mkuu, middle class wa kitanzania mpaka leo yupo tayari kuishi kidikiteta, mkuu unaonaje ukipata uhuru wa kupush back vitu anavyoona ni haki yako? mkuu unaonaje ikiwa ni police tu wenye power to arrest? mkuu unaonaje ukipata uhuru wa kuishitaki serikali kama imekukosea? mkuu unaonaje tukiwa ni mikoa 15 tu na wilaya 75 tu ,na service delivers kwa wananchi ni nzuri?
 
Mm kama ni amri yangu baada ya uchaguzi vyama vya siasa visifanye mikutano ya hadhara badala yake mikutano ya ndani iwe ruksa na ikifika mwaka mmoja kabla ya uchanguzi wowote ule mdogo na mkubwa iruhusiwe mikutano ya nje pia.
Hayo unayosema yamo kwenye Katiba ya nchi ?
 
Waziri wa nchi , sera na Uratibu wa bunge Simbachawene , ni miongoni mwa Mawaziri wa Serikali ya ccm ambaye anaonekana dhahiri kwamba hajaridhishwa na uamuzi wa Kuondolewa kwa zuio batili la mikutano ya vyama vya siasa .

Amenukuliwa leo akitetea uamuzi ule wa kidikteta uliojaa uoga na ushamba kwamba ulikuwa halali kwa wakati ule , kwa vile serikali halali iliyochaguliwa na wananchi ilihitaji utulivu ili ilete maendeleo , kwake Simbachawene kuvunja katiba ndio kuleta maendeleo , huyu ni Waziri , kwamba sasa hivi hawahitaji huo utulivu ili kuleta maendeleo ?

Viongozi wanafiki na wanaotetea uovu kama huyu Simbachawene hawastahili kuwemo kwenye serikali za kileo , kwani ilikuwa lazima aropoke huo ujinga wake ? ni dhahiri kwamba huyu hajaridhishwa na uamuzi wa Rais , ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama chake , NASHAURI AVULIWE UWAZIRI HARAKA

Nakala : Abdulrahman Kinana
Hana sifa za kurudi 2025
 
Kwa kelele hizi utadhani irrelevance ya vyama vya siasa vya upinzani ilisababishwa na zuio la Magufuli. Magufuli alichofanya kwa muda mfupi ni kutuonyesha rangi halisi za wanasiasa. Wawe wa upinzani, wawe wa CCM.

Mtu ka Lissu hivi hata baada ya kuruhusu mikutano ya hadhara ni kitu gani atasema ili watu tumchukulie serious?
Hivi unadhani nchi haina madudu hii ? subiri .
 
Back
Top Bottom