JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Awali, Mbunge Festo Sanga alihoji mpango wa Serikali kukabiliana na rushwa baada ya kuwa na tetesi za madai ya rushwa katika mchezo huo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa kwenye Uwanja wa Mkapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabunge wenu wapo makini sana, wapongezeni wajameni 😁😁Awali, Mbunge Festo Sanga alihoji mpango wa Serikali kukabiliana na rushwa baada ya kuwa na tetesi za madai ya rushwa katika mchezo huo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa kwenye Uwanja wa Mkapa.
Simbachawene bwanaAmeweka msisitizo kabisa “Kama zile tano zimetokana na rushwa !” 😁😁😁😁
Hawa Watu Wa Serikali Ni Wapuuzi Sana, Michezo Ni Burudani, Afya, AjiraWanaharibu michezo hawa, na kuzalilisha watu na kuvunja moyo wachezaji wa simba.
Wapuuzi Tu Wanasiasa WetuKwani timu ngapi zimewahi kufungwa 5+ akiwemo mmbabe wa Africa Al Ahly kwa Mamelodi sundowns iweje Simba iwe debate ya kitaifa?