Hizi shutuma zinahitaji uthibitisho kwani zinagusa HISIA za makundi mengi ndani ya Jamii, wanaume, wanawake , wasomi , viongozi, watoto, sponsors, media, authorities, international, wachezaji wadogo wanaokuwa ktk football industries
Si jambo dogo dogo hata kidogo, kama kuna any primary evidence hata kama ni ndogo kiasi DOLA I- take very serious measures,..... very serious..
For soccer health .
Kama kuna any Attempt by YANGA, this to be taken as an example, but if there is any mazingira. Even Any mazingira..!! Narudia ....
NBC LEAGUE ilishaanza kupata HESHIMA, lakini kwa haya MADOA...!!!!