Simbachawene: Kama zile 5-1 zimetokana na Rushwa, Simba mkaripoti TAKUKURU Temeke

No sahihi hawa wapuuzi wanataka kuturudisha miaka ya 1990 tulipokuwa tunaweka Mpira kwapani. Mbona wao wanawafungaga coastal 8 bila? Pumbavu zao kabisa.
 
Ujinga mtupu

Kwamba hamtaki kuamini mnaweza kufungwa goli 5 na Yanga? Waambieni viongozi wenu waache kutafuta excuses ku clear their asses. Waambieni wa take responsibilities ndio dawa sio kutafuta sababu ili kuji cover.
 
Hongera Sana Mheshimiwa kazi yako inaonekana. Tanzania bila rushwa michezoni inawezekana. Ikiwa pamabano la aSimba Vs Yanga lina viashiria vya Rushwa wakaripoti TAKUKURU Temeke ili uchunguzi ufanyike
 

Attachments

  • VID-20231109-WA0018.mp4
    3.4 MB
Tuamini lipi huku waliroga kwa wabunge rushwa Simba kitu gani mbona leo tena Namungo kubali tu Young Africa ni bora kuwazidi kwa sasa

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
Huyo Simbachawene aanze na waliotajwa kuiba pesa za umma hapo mjengoni, atutolee upuuzi wake,
Yeye mwenyewe ni mtu wa rushwa, akae kimyaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…