Simbachawene: Ripoti zinaonesha zaidi ya 40% ya Watumishi wa Umma Tanzania hawafanyi kazi

Simbachawene: Ripoti zinaonesha zaidi ya 40% ya Watumishi wa Umma Tanzania hawafanyi kazi

Kwa uzoefu wangu kwa serikalini lazima kuwe na mzigo tena asilimia ni zaidi ya hiyo .Sababu ni ndogo ndogo tu wala sio kubwa sana.

Wafanyakazi wengi wa serikali ni watu waliojihakikishia mshahara then wanatafuta njia ya kwenda mbele zaidi ,ishu kama kwenda kusoma ni bora wafute ; kazini kwetu napiga vitengo vitatu kwa pamoja ,hao wawili wameenda kusoma tena mwaka huu na wengine wanaenda .Kiufupi ufikishaji wa huduma kama ilivyokusudiwa ni zero kila mtu anatafuta vyeo.

Mlundikano wa wafanyakazi sehemu moja kutokana na sababu za kimazingira ,watu hupenda kujilundika mkoa fulani kuliko mwingine .Matokeo yake sehemu za mijini watu ni wengi mpaka hawafanya kazi wengine meanwhile huko kijijini hakuna watu .


Ruhusa za hovyo hususani hizi za kuumwa ,kuuguza mzazi ,mke au mtoto ni hatari sana mbaya zaidi kama mzazi itabidi mtu aende mkoani huko maana hafanyi kazi mkoa waliopo wazazi wake. Haya mambo ni kawaida sana waliokuwa na familia ni changamoto ,mtu miezi yuko Muhimbili kuuguza mtoto wake sio rahisi kuepuka mambo hayo.​
Ambae haugui ni robot tuu waweke hao tuone 😁😁
 
Certificate ndio nn? Sina certificate ,sasa kwa akili yako ndogo hao wanaeonda kusoma hata maprofessor wako wana athari gani positive?
Wanatafuta GREEN PASTURE kaa kwa kutulia kula kwa urefu wa kamba yako.

📌📌Kama kamba yako ni fupi pambana.Acha visirani!!!
 
Wanatafuta GREEN PASTURE kaa kwa kutulia kula kwa urefu wa kamba yako.

📌📌Kama kamba yako ni fupi pambana.Acha visirani!!!
Hata huelewi nn kinaongelewa ndiyo yale anayozungumzia Simbachamwene 😀 😀
 
📌wewe kama huna kichwa cha shule baki na certificate yako.Acha wenzako watafute GREEN PASTURE in there way.

📌Hutaki watu waumwe tengenezeni maroboti yafanye kazi 24/7/365days.

📌Kuna siku 14 za mwaka kwa kila mtumishi kwaajili ya mambo ya kijamii na dharura.

📌Ili watu wasirundikane hiyo mikoa yenye kuchangamka au mijini sambazeni maendeleo in equal distribution katika mikoa yote.Mngeweza hata kuwapa vipaumbele wafanyakazi wa migombani huko kwa vitu kama mikopo nafuu,nyumba na allowance za hapa na pale.Hampo inovative na bado mnalilia efficiency kwa wafanyakazi wenu.

📌Nchi hii kila mtu analalama hata wenye uwezo wa kufanya mabadiliko wanalalama.Sasa nani amsaidie mwenzake.

📌Wafanyakazi wengi wanafanya kazi katika mazingira ambayo sio rafiki au chini ya kiwango ila badala ya kuaddress challenges faced by this civil servants.Mnaanza kuwananga hivi mtaendelea kutegemea miujiza mpaka lini.
Kuna salary slip moja ya NO niliiona aisee.
From basic ya 1.2 mpaka take home ya 666k.
Hata ningekuwa nipo kwa ajila huo mzigo sudhani kama unafanya kazi kwa Moyo.
 
simbachawene mwenyewe hakuna kitu, taarifa inamuhusu
 
Enzi za tumbua tumbua ziliwafanya wafanyakazi wote wa umma wafanye kazi kwa weledi,sasa hivi mwajiri analalamika eti wafanyakazi wake hawafanyi kazi ipasavyo, so what,tufanye nini wananchi wa kawaida?
 
Kuna salary slip moja ya NO niliiona aisee.
From basic ya 1.2 mpaka take home ya 666k.
Hata ningekuwa nipo kwa ajila huo mzigo sudhani kama unafanya kazi kwa Moyo.
Ukikuta limtu linatoa lawama as if yeye angepewa hiyo kazi angefanya kwa moyo wote.Most people wapo kwenye hizi kazi for SURVIVAL!!!

Mitanzania imejaa unafiki.Ukijumlisha na sifa za kijinga wanazopewa na wanasiasa basi mibichwa intuna ikifika ofisi za watu inaanza kujitambulisha oohhh mimi mwananchi mara mimi mpiga kura😀😀😀
 
Back
Top Bottom