Simbachawene: Serikali kuangalia upya utaratibu wa kuanzisha Makanisa, Wachungaji watapaswa kuwa na Shahada ili kupunguza "Vibanda Imani"

Daktari JPM, habari bila picha hainogi
 
Umeanza kukwama na wewe simba!
hiyo ni ajar ni kama ajar zingine,suala hili ni la watu wenyewe,,waelewe iman sahihi lakin na serikal ipunguze ukali wa maisha...nyie ajira mmezibana,watu wanakimbilia kwenye mafuta ndio kuna uwezekano pengine wa kupata ajira....
Acheni kuyumbisha dishi....khar ya maisha ni ngumu,moyo wa mwanadam nao umeumbwa na imani,hata jiwe unaweza amin..
 
NAUNGANA NA SIMBACHAWANE ILI KUEPUKA UTITIRI WA WACHUNGAJI UCHWARA NA MANABII NJAA.SHARTI UWE NA SHAHADA YA THEOLOGIA
 
 
kabisa naunga mkono hoja
 
Si kila kitu cha kuiga kutoka Rwanda , mmeiga utekaji inatosha mengine jiongezeni , wekeni tu utaratibu mzuri wa kudhibiti umati basi , Yesu Kristo alikuwa na digrii ngapi ?
 
Upumbavu wa hapa zitaibuka itikadi za kivyama khs suala hili.

CCM(watamuung mkono Simbachawene-sababu ni mwenzao) Vs CDM(Watapinga suala hilo sababu tu aliyeongea ni Simbachawene).

Ndio maisha ya kijinga tuliyojichagulia.

dodge
 
Naona hata waumini wawe na shahada pia maana sio kwa kuburuzwa huko


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
nini kifanyike?
 
Tumechelewa Sana twaweza kwenda kukopi kwa wenzetu Rwanda itatusaidia Sana kuondokana na wafanyabiashara Hawa wasiolipa Kodi.

Lazima mtu awe na degree ya Theology Toka kwenye Chuo kikuu kinachotambulika na serikali. Awe pia amepitia School of Healing . Kama unapenda kazi ya mungu Basi uisomee na ugeuke kuwa passion na sio malinzi wa site Mara kaibuka kawa mtumishi sehemu Mara kakusanya watu kaanzisha kabisa Mara anapiga kelele mtaani watu hawalali Wala hawapumziki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama nchi itaendelea kuwa na kundi kubwa la Wajinga sidhani kama itasaidia sana.

Muhimu ni Serikali kuwa na miongozo yake kwa hawa 'Watumishi", haswa kwa wale wanaokusanya 'Mburula' wengi.

Serikali izuie baadhi ya mambo yasio na maana yoyote...kwani hata wanavyoibiwa/dhulumiwa ni sawa tu kwamba wamekaa pembeni kuwaacha Wananchi waibiwe, mbona Benki au taasisi zinazojishughulisha na mambo ya pesa serikali inaingialia kati?
 
We

Well said, for some reason naona Waziri haja digest msimamo wa USA kuhusu Taifa letu linapo kuja suala wanalo dai wao kwamba ni ukihukwaji mkubwa wa haki za binadamu/raia Nchini.

Huu si wakati mzuri wa kuwapatia akina Pompeo na Trump kisingizio cha kuliwekea Taifa letu punitive sanction kwa kisingizio cha kudai eti tanakihuka haki za binadamu, tusipo kuwa makini tukaanza kuingilia imani za raia kwa kuwawekea vikwazo baadhi ya viongozi wa dini kwa visingizio vya shahada ya theolojia - suala hilo akina Pompeo na Trump watalipokea kwa mikono miwili na kuiwekea Tanzania vikwazo vya kiuchumi - tusichezee shilling kwenye tundu la choo, USA ikisha anza kukufatilia kwa karibu unapashwa kuwa makini sana na statements ambazo viongozi wetu wana zitoa kwenye vyombo vya habari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…