Kapinga
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 727
- 14
Jamani hawa ni SimbaNet kuna kampuni zingine zaidi ya sita ambazo nazo itaungwa kwenye SEACOM..Tusubiri hao na tuone ushindani wa kweli...as consumers we will always go for the cheapest and fastest provider!!
I hope TCRA wako upande wa consumers on this one lasi ivyo tutaliwa kama tunavyoliwa kwenye GSM networks!!
I hope TCRA wako upande wa consumers on this one lasi ivyo tutaliwa kama tunavyoliwa kwenye GSM networks!!