Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Wakuu naangalia Mbio za Dunia kupitia ZBC2, mwanzoni nilimuona katika kundi la kwanza, Mtanzania mwenzangu tena alikuwa kwenye Kumi Bora.
Baadaye sikumuona tena na mwish.oni washiriki karibu wote walioneshwa kwa nafasi zao lakini sikumuona kabisa
Ndugu Melubo Letema tuambie kipi kilitokea.
Washindi
Kiplagat - Uganda
Teferi - Israel
Gebresalasie - Ethiopia
Baadaye sikumuona tena na mwish.oni washiriki karibu wote walioneshwa kwa nafasi zao lakini sikumuona kabisa
Ndugu Melubo Letema tuambie kipi kilitokea.
Washindi
Kiplagat - Uganda
Teferi - Israel
Gebresalasie - Ethiopia