Simchimba strika aliye tikisa u20 cecafa 6 goals

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
Watu wanaongelea kelvin John as if wengine hawajafunga hata goal moja.

Ukweli.ni kwamba kuna kijana huyu ambaye hivi karibuni ameitwa timu ya taifa na mchezaji wa coast union andrew simchimba ameondoka na magoli 6 nyuma ya kelvin john ambaye ameobdoka na magoli 7.

Kwanza ni mrefu, ana nguvu kama drogba. Au bale akikuzwa vizuri apate club ya nje hata tp mazembe tutakuja kujuta hapo mbeleni.
 
Hao wazee hakuna kwenye umri chini ya miaka 20
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…