playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Hahahahaaaa MNA ubaya duuuhFalz alifunikwa licha ya kurap sana..
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaaaa MNA ubaya duuuhFalz alifunikwa licha ya kurap sana..
hiyo chemistry sio mchezomchezo.....ndo ngoma pekee nikiweka replay simsikii wife akiniponda, kumbe nae anaukubali mno.Ukiacha Soldier ( Falz ft Simi )
kuna ugonjwa wangu mwingine sichoki kusikiliza
Chemistry ( Falz ft Simi )
Sent using Jamii Forums mobile app
Apo kwa Ariana na Camilla sio sahihi,,Ariana ni Bonge la msanii huenda hujawahi jua ufanyaji wake wa muziki ndomaana unadhani ivo..Ariana Grande ni Producer,Composer,Songwriter pia ni Singer na ni mnoma kwenye ku'fuse mziki wa kiume na kuishi nao yente kike,,while Camilla Cabello ana uwezo wa kuimba level za Ariana but kuna vitu shazi anazidiwa na Ariana Grande hadi Urembo.mziki ndio huko ivyo ukijua sana utaishia kusifiwa.camilla anajua sana but ariana anakmbza sana
Kabisa pata na Ayo, Lovin au Love dont care,Wimbo wa kuitwa soldier wa Falz feat Simi, natamani kumdediketia mtu. Ni hatari sana hiyo kitu. Simi anajua sana, namfananisha na Ruby!
Kabisa, Barnaba yupo vizuri kwenye kuimba, ingawa video zake sizielewi kiasi fulani,Hapa bongo underrated ni weng mfano barnaba
Its not over until its over...[emoji769]