Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Watu wakisoma Hilo dau Kobe zao zimefikamilioni 71.1
utaenda jeraaaaPolisi mkoani Simiyu linamshikilia mtu mmoja kwa kosa la kupatikana na nyara za serikali.
Kamanda Polisi mkoani Simiyu, ACP Richard Abwao, amesema mtuhumiwa amekutwa akiwa na mabegi matatu yakiwa na kobe 438 wenye thamani ya shilingi milioni 71.1, bila yakuwa na kibali.
View attachment 1739542
View attachment 1739543
Unao tufanye biashara wanauzwa wapi niachie mm.kwani kobe wanauzwa wapi na wana kazi gani?
mwenye uelewa anisadie tafadhali [emoji120]