Polisi mkoani Simiyu linamshikilia mtu mmoja kwa kosa la kupatikana na nyara za serikali.
Kamanda Polisi mkoani Simiyu, ACP Richard Abwao, amesema mtuhumiwa amekutwa akiwa na mabegi matatu yakiwa na kobe 438 wenye thamani ya shilingi milioni 71.1, bila yakuwa na kibali.
View attachment 1739542
Watu wakisoma Hilo dau Kobe zao zimefika
Polisi mkoani Simiyu linamshikilia mtu mmoja kwa kosa la kupatikana na nyara za serikali.
Kamanda Polisi mkoani Simiyu, ACP Richard Abwao, amesema mtuhumiwa amekutwa akiwa na mabegi matatu yakiwa na kobe 438 wenye thamani ya shilingi milioni 71.1, bila yakuwa na kibali.
View attachment 1739542
kwa hiyo ukiuza kobe mmoja unapata ng'ombe hata wawili..duh
Embu tufikiri nje ya box.
Hivi kobe ni nyara za serikali toka lini?
Kosa la huyo mtu ni nini?
Kuwa na kobe? Kuwa na kobe wengi? Kuuza kobe?
Kama mtu ameamua kuzalisha kobe ili kuuza, au kuwasaka maporini ili kuuzia watu mijini, shida iko wapi?
Mkuu,utakamatwa ujue.Kuisoma 71M ni nyingi ila na hao kobe 400 wengi mno bwana unarisk kushtukiwa kama hauna Godfather.
Kobe wanne napata sh ngapi?
Nakuona unavyoenda kusaidiana na wahujumu uchumi nyuma ya nondo kule,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nina Kobe 80 Mkuu [emoji23][emoji23]
Aende wampe madiliNakuona unavyoenda kusaidiana na wahujumu uchumi nyuma ya nondo kule,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna taratibu za kufata ili ufuge kobe au ufa years biashara hiyooo mzeeHizi nchi zetu za kiafrika kutoka kimaisha ngumu sana kwasababu tumekariri sana. Badala ya serikali kuwapa fursa watu wake kutumia rasilimali zinazotuzunguka yenyewe iko busy kuwakomoa. Kuna watu waliokuwa wanatajirika na vipepeo tu lakini alitokea mshamba mmoja kaua biashara hiyo. Kiukweli sisi kobe hatuna kazu nao yoyote kama wengine kwao dili waruhusiwe wafuge na kisha wauze. Maendeleo ni kubadilisha rasilimali uliyonayo upate rasilimali usiyonayo. Watu waruhusiwe wafuge/walime kobe kama wanavyofuga ngombe mbuzi kuku nk
Kuna taratibu za kufata kabla hujamiliki wadudu haoEmbu tufikiri nje ya box.
Hivi kobe ni nyara za serikali toka lini?
Kosa la huyo mtu ni nini?
Kuwa na kobe? Kuwa na kobe wengi? Kuuza kobe?
Kama mtu ameamua kuzalisha kobe ili kuuza, au kuwasaka maporini ili kuuzia watu mijini, shida iko wapi?
Hiyo sheria haijaanza jana walk juziBongo ni bora mtu afe ahumukumiwe maisha kisa kobe wake Hana vibali rahisisha toa vibali watu wafuge kobe wauze kwa wanaowahitaji mtu anapewa kifungo kidogo harafu anapewa Elimu ya kupata vibali maana soko analo kabisa..tubadilike bhana vipo vitu vya kufunga watu sio kobe au vipepeo sijui kumbikumbi...