Pre GE2025 Simiyu: CCM Busega wachanga pesa kwaajili Rais Samia na Mbunge kuchukua fomu ya kugombea 2025, wengine watoa ng'ombe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Your browser is not able to display this video.

Wanachi Simiyu wamejichanga changa kwa mwenye mia tano, buku na zaidi na kufikisha Tsh. 553,000/- kwaajili ya mbunge na Rais Samia kuchukua fomu kwaajili ya uchaguzi 2025! Hayo yamejiri Busega, Simiyu leo December 22, 2024 ambako Waziri Majaliwa alikuwa mgeni Rasmi katika mkutano wa jimbo ulioandaliwa na Mbunge wa Busega.

Kwa vimbwanga na vituko vingine kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ruka hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Wengine watoa ng'ombe kwa Rais Samia, na ngombe wengine wamekabidhiwa kwa Majaliwa na familia yake.

Halafu wakitoka hapo wanaenda kulia njaa!

Your browser is not able to display this video.

 
CCM DAIMA SAMIA MITANO TENA
 
Hapo kuna Fancis Nanai, analitaka jimbo, eti akahama kabisa Dar ili awapange. Ila aangalie, huko kuna misumari na maroketi ya jadi
 
Huko usukumani kuna mijitu mijinga sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…