Simiyu: Mkuu wa Mkoa ahoji kuhusu askari anayetuhumiwa kumpa ujauzito mwanafunzi

Simiyu: Mkuu wa Mkoa ahoji kuhusu askari anayetuhumiwa kumpa ujauzito mwanafunzi

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
FMQi--qXsAErovK.jpg

Picha: Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila mwanzoni kulia

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila ameagiza kupata maelezo ya kina juu ya hatua zilizochukuliwa na Jeshi la Polisi dhidi ya askari, Nuru Mtafya anayetuhumiwa kumpa ujauzito mwanafunzi anayejulikana kwa jina la Neema Mabula wa shule ya sekondari iliyopo wilayani Maswa mkoani humo.

“Nataka kujua hatua zilizochukuliwa na Jeshi la Polisi dhidi ya askari, anayetuhumiwa kumpa ujauzito mtoto (Nuru Mtafya), baba yake amelalamika kwenye mkutano wangu wa hadhara kwa hiyo nahitaji majibu yakina katika hili," alisema David Kafulila.

Source: DarMpya
 
Ile sheria ya kurudi shule baada ya kuhudumia mimba ndiyo inachangia pia kutufikisha huku kama taifa.
 
Hahahaaa! Polisi kukamatana ni ngumu kweli. Huku kijijini kwetu vibinti vingi vimeishia form 2 baada ya kupewa mimba na manjagu na manjagu wanaamishwa work station tu
 
Yaani RC anahoji badala ya kuagiza hatua za kuchukua dhidi ya uvunjaji wa sheria wa wazi dhidi ya polisi huyo...?

Na after all sijui ni màpungufu ya uandishi au ndivyo ilivyokuwa. Kwa sababu hilo agizo liko too general. Haliko wazi na specific. Hii ni ishara kwamba, Hakuna kitakachofanyika.

Mathalani, huyu RC hilo agizo lake kalielekeza kwa nani? Je, kwa mwananchi aliyemlalamikia au kwa RPC au kwa DC Maswa au kwa DED Maswa au kwa nani hasa?
 
“Nataka kujua hatua zilizochukuliwa na Jeshi la Polisi dhidi ya askari, anayetuhumiwa kumpa ujauzito mtoto (Nuru Mtafya), baba yake amelalamika kwenye mkutano wangu wa hadhara kwa hiyo nahitaji majibu yakina katika hili," alisema David Kafulila.
Hili nalo ni lakwenda kuongelea kwenye vyombo vya habari
 
Hawa ndio viongozi wetu jamani Tz! yeye ni m.kiti wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa, badala ya kuagiza anataka report!
Report kwa hawa polisi wetu hawa!

Sijui kama tutafika na tukifika tutakuwa tumechoka sana!
 
View attachment 2128276
Picha: Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila mwanzoni kulia

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila ameagiza kupata maelezo ya kina juu ya hatua zilizochukuliwa na Jeshi la Polisi dhidi ya askari, Nuru Mtafya anayetuhumiwa kumpa ujauzito mwanafunzi anayejulikana kwa jina la Neema Mabula wa shule ya sekondari iliyopo wilayani Maswa mkoani humo.

“Nataka kujua hatua zilizochukuliwa na Jeshi la Polisi dhidi ya askari, anayetuhumiwa kumpa ujauzito mtoto (Nuru Mtafya), baba yake amelalamika kwenye mkutano wangu wa hadhara kwa hiyo nahitaji majibu yakina katika hili," alisema David Kafulila.

Source: DarMpya

72C15418-1216-4C2D-92B8-57F2A1481D7F.jpeg
 
View attachment 2128276
Picha: Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila mwanzoni kulia

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila ameagiza kupata maelezo ya kina juu ya hatua zilizochukuliwa na Jeshi la Polisi dhidi ya askari, Nuru Mtafya anayetuhumiwa kumpa ujauzito mwanafunzi anayejulikana kwa jina la Neema Mabula wa shule ya sekondari iliyopo wilayani Maswa mkoani humo.

“Nataka kujua hatua zilizochukuliwa na Jeshi la Polisi dhidi ya askari, anayetuhumiwa kumpa ujauzito mtoto (Nuru Mtafya), baba yake amelalamika kwenye mkutano wangu wa hadhara kwa hiyo nahitaji majibu yakina katika hili," alisema David Kafulila.

Source: DarMpya
Huyo mzee watambambika kesi
 
View attachment 2128276
Picha: Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila mwanzoni kulia

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila ameagiza kupata maelezo ya kina juu ya hatua zilizochukuliwa na Jeshi la Polisi dhidi ya askari, Nuru Mtafya anayetuhumiwa kumpa ujauzito mwanafunzi anayejulikana kwa jina la Neema Mabula wa shule ya sekondari iliyopo wilayani Maswa mkoani humo.

“Nataka kujua hatua zilizochukuliwa na Jeshi la Polisi dhidi ya askari, anayetuhumiwa kumpa ujauzito mtoto (Nuru Mtafya), baba yake amelalamika kwenye mkutano wangu wa hadhara kwa hiyo nahitaji majibu yakina katika hili," alisema David Kafulila.

Source: DarMpya
 
Kuna watu wana utani unaolingana na ukweli; mnakumbuka utani AG wa zamani aliwahi kumtania Kafulila?

Hiyo picha yake haiko mbali na ukweli!
 
Shida iko wapi? Si ajifungue then arudi shule
 
View attachment 2128276
Picha: Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila mwanzoni kulia

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila ameagiza kupata maelezo ya kina juu ya hatua zilizochukuliwa na Jeshi la Polisi dhidi ya askari, Nuru Mtafya anayetuhumiwa kumpa ujauzito mwanafunzi anayejulikana kwa jina la Neema Mabula wa shule ya sekondari iliyopo wilayani Maswa mkoani humo.

“Nataka kujua hatua zilizochukuliwa na Jeshi la Polisi dhidi ya askari, anayetuhumiwa kumpa ujauzito mtoto (Nuru Mtafya), baba yake amelalamika kwenye mkutano wangu wa hadhara kwa hiyo nahitaji majibu yakina katika hili," alisema David Kafulila.

Source: DarMpya
namuona tumbili ktl ubora wake.
 
Badala ya kutoa oda ili huyo Askari mpuuzi akamatwe yy analeta habari za kutaka riport kazi ipo.
 
Back
Top Bottom