zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Kosa la kwanzaMhoja Maduhu (15) amefariki Dunia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kosa la kwanzaMhoja Maduhu (15) amefariki Dunia
Kosa la nneadhabu kali
Tunafanyaje SasaJela zipi mkuu au hizi hizi za mama Abdul ambazo ikifika sikukuu ya muungano anatoka kwa msamaha wa mama Abdul. Chezea bongo nyoso veve
KIFO ni KIFO TU!Wazazi wa mwanafunzi Mhoja Maduhu wa kidato cha pili katika shule ya sekondari Mwasamba ya mkoani Simiyu wameomba uchunguzi ufanyike juu ya kifo cha mtoto wao kwa madai ya kuwa kifo chake kimesababishwa na kuchwapwa fimbo maeneo mbalimbali ya mwili wake akiwa shuleni.
View attachment 3258267
Hatari sanaVideo inajieleza,ni mwalimu mwenzangu aliyekengeuka
Mimi kila mara huwa nawakumbusha walimu juu ya kuzingatia majukumu yao ya msingi na kuachana na hasira za kipumbavu za kuchapa watoto wasio na uwezo wa kujitetea.Video inajieleza,ni mwalimu mwenzangu aliyekengeuka
Ww ni mwalimu?Mimi kila mara huwa nawakumbusha walimu juu ya kuzingatia majukumu yao ya msingi na kuachana na hasira za kipumbavu za kuchapa watoto wasio na uwezo wa kujitetea.
Sasa kama huyu mwalimu ndoto zake zimeyeyuka kizembe sana anaenda jela maisha kisa kutokuwa na self control ya hasira za kipumbavu.
Bado nawashauri walimu watoto wa dunia ya leo watakupeleka jela kizembe sana maana afya zao sio imara kama walivyokuwa wa zamani miaka ya 80's na 90's.
Kizazi chake kifungwe kwa kosa gani?Yeye na kizazi chake chote wafungwe maisha,,,,
Hapana. Ila nina marafiki na watu ninaofahamiana nao ambao ni walimu.Ww ni mwalimu?