TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
Yeah!,nakumbuka sheria inatumia biblical words ama Quran kufanya reference na kutoa hutumiaKuna sheria inakataa ndugu kuoana?
msomage sheria,Sasa hapo sijui Sheria itasemaje,hata ilo la mtu na dada ake kuoana ndio nimejua Leo kuwa adhabu yake ni miaka 30 jela
Biblia na quran zimekataza,mahakama inatumia hivyo vitabu kukutia hatiani piaBinafsi siwezi ila sheria haijanikataza kufanya hivyo.
Tofautisha Maadili na Sheria hivyo ni vitu viliwi tofauti kiongozi.
Hebu waulize warangi na wasomali, ndo wanakuwaga na hayo mambo sanaJe, kama ni mtu na binamu yake?
Hao ndugu wanajua kuwa Hilo ni kosa?Mahakama ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemhukumu kifungo cha miaka 20 jela Mussa Shija (33) na Hollo Shija (35) miaka 30 jela kwa kosa la kuzini na kuishi kama mke na mme kwa zaidi ya miaka sita wakijua kuwa ni ndugu wa damu.
Wakazi hao wa Kijiji Cha Mandang'ombe Wilayani Maswa walihukumiwa jana Agusti 14, 2024 na Hakimu mkazi Mwandamizi wa Mahakama hiyo Enos Misana, ambapo ilidaiwa mahakamani hapo kuwa watuhumiwa hao walifanikiwa kupata mtoto mmoja mwaka 2022.
Katika jinai namba 26634/2024 iliyokuwa inawakabili watuhumiwa hao ilidaiwa mahakamani hapo na Mwendesha Mashtaka kutoka Ofisi ya Mashitaka ya Taifa wilaya ya Maswa, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi, Vedastus Wajanga kuwa walitenda makosa hayo tarehe na miezi tofauti kati ya mwaka 2018 hadi Julai 2024 katika kijiji cha Mandang'ombe wilayani humo.
Chanzo: Habari Leo
Hivi kwani sehemu zao za siri ni mali ya jamhuri? Mahakimu wengine bwana!Mahakama ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemhukumu kifungo cha miaka 20 jela Mussa Shija (33) na Hollo Shija (35) miaka 30 jela kwa kosa la kuzini na kuishi kama mke na mme kwa zaidi ya miaka sita wakijua kuwa ni ndugu wa damu.
Wakazi hao wa Kijiji Cha Mandang'ombe Wilayani Maswa walihukumiwa jana Agusti 14, 2024 na Hakimu mkazi Mwandamizi wa Mahakama hiyo Enos Misana, ambapo ilidaiwa mahakamani hapo kuwa watuhumiwa hao walifanikiwa kupata mtoto mmoja mwaka 2022.
Katika jinai namba 26634/2024 iliyokuwa inawakabili watuhumiwa hao ilidaiwa mahakamani hapo na Mwendesha Mashtaka kutoka Ofisi ya Mashitaka ya Taifa wilaya ya Maswa, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi, Vedastus Wajanga kuwa walitenda makosa hayo tarehe na miezi tofauti kati ya mwaka 2018 hadi Julai 2024 katika kijiji cha Mandang'ombe wilayani humo.
Chanzo: Habari Leo
Hapana, sio kweli. Mahakama inatumia sheria na sio vitabu vya dini. Japo sheria zetu zina unasaba wa karibu na misimamo ya vitabu.Biblia na quran zimekataza,mahakama inatumia hivyo vitabu kukutia hatiani pia