Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Utamuona kesho kutwaTundu Lisu yuko wapi?! πΌ
Unataka kumtumia watu?Tundu Lisu yuko wapi?! πΌ
siasa ni sayansi ndrugu zango πKwa mujibu wa Ratiba iliyosambazwa na Chadema , leo ni zamu ya Mkoa wa Simiyu , ambako wananchi wataandamana mitaani kupinga Ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za uchaguzi nchini Tanzania
View attachment 2972494
Kama kawaida yetu na kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu tutawaletea kila kinachojiri .
Usiondoke JF
==========
Labda Boniyai ππUnataka kumtumia watu?
Ni tishio kwenu balaaLabda Boniyai ππ
Ushauri wako umepuuzwasiasa ni sayansi ndrugu zango π
dawa ya ugumu wa maisha yako ni kufanya kazi kwa bidii tu na sio kulaumu au kumsingizia mwingine π
it can't be and it is useless....
uvivu wako ndio mzigo na msalaba wako, ubebe mwenyewe π
Nadhani yuko bondeni Sentro muda huu πΌNi tishio kwenu balaa
kama yalivyo puuzwa maandramano πUshauri wako umepuuzwa
akiwa na sharubu zake ni tishio la kigaidi π€£Ni tishio kwenu balaa
Endelea kututegea sikiokama yalivyo puuzwa maandramano π
watu wenyewe laini zaidi ya maini π€£
sawa kamanda laini zaidi ya maini π
Siasa za kisasa si kubeba zege , ni mikakati na ushawishisawa kamanda laini zaidi ya maini π
wrong timing, weak motivies of maandamanoz.Siasa za kisasa si kubeba zege , ni mikakati na ushawishi
Kama ni hivyo kinachokuliza nini ?wrong timing, weak motivies of maandamanoz.
you can only attract your lazy party members π
Saa 12:22 Maandamano bado πΌKwa mujibu wa Ratiba iliyosambazwa na CHADEMA, leo ni zamu ya Mkoa wa Simiyu, ambako wananchi wataandamana mitaani kupinga Ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za Uchaguzi nchini Tanzania.
View attachment 2972494
Kama kawaida yetu na kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu tutawaletea kila kinachojiri.
Usiondoke JF
==========
unorganized and very poor communications systems, but very weak and irrelevant speeches by the chairman πKama ni hivyo kinachokuliza nini ?
siasa ni sayansi ndrugu zango [emoji205]
dawa ya ugumu wa maisha yako ni kufanya kazi kwa bidii tu na sio kulaumu au kumsingizia mwingine [emoji205]
it can't be and it is useless....
uvivu wako ndio mzigo na msalaba wako, ubebe mwenyewe [emoji205]
wafanya kazi kwa bidii hawawezi eti kuacha kazi zao mathalani mashambani, masokoni au malishoni wajiunge na wavivu ati mahali fulani kuna mtu anasababisha ugumu wa maisha yao π€£Unaamini ugumu wa Maisha TZ Ni kwakuwa watu hawafanyi kazi?
Naomba kujua Level ya Elimu yako, tafadhali haraka?