Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #41
Usilie Mambo badoTutawagalagaza kura kwenye uchaguzi utarudi na machozi shavuni,shauri yako bwana mdogo,msalimie Boniyai mwambie atoe hata ofa ya yai mojamoja kwa hako kagenge kasikate tamaa
🤣 🤣 🤣Ushauri wako umepuuzwa
🤣 🤣 🤣Ndiyo maana ktk nchi iko inayoitwa "serikali". Kazi ya serikali kuiwezesha hii sayansi itende kazi kwa manufaa ya wananchi
Serikali ikishindwa kuifanya hiyo uliyoita "sayansi" hapo☝🏻☝🏻 juu kutengeneza mazingira bora ya watu kufanya kazi zao kwa manufaa yao:
Mathalani ni kufanya kazi kwa bidii ili watu wanufaike na bidii yao ya kazi ni na kufanya maisha yaende kwa urahisi inategemea na haya yanayopaswa kufanywa na serikali;
√ Uwezo wa nishati ya umeme wa uhakika na wa bei rahisi
√ Uwepo wa miundombinu bora ya usafiri na usafirishaji
√ Uwepo wa sera bora za kilimo na bei za mazao ya kilimo kwa wakulima..
√ Uwepo wa mazingira salama na rafiki ya kibishara..
√ Uwepo wa huduma bora za kijamii mf. afya, elimu, kisheria nk nk
√ Uwepo wa sera nzuri na rafiki za kodi
√ Uwepo wa mifumo imara na madhubuti kudhibiti rushwa na ufisadi serikalini.
√ Uwepo wa mfumo thabiti wa kisheria na utoaji haki nk nk
Sasa niambie jukumu la hayo yote ni la nani? Sio la serikali? Vipi inapokuwa imeonekana iwaziwazi kuwa imeshindwa kutekeleza wajibu wake?
JIBU NI: wananchi kuiwajibisha serikali hiyo kwa namna njia zozote halali..!!
Ndo kusema kuwa, kufanya kazi kwa bidii bila ubora wa mazingira hayo hapo juu ni kazi bure ndugu Tlaatlaah
Na kwa hili, binafsi nakuona wewe kama mtu mjinga fulani hivi usiyejua jukumu kuu la serikali yoyote ile. Maana ungekuwa unajua usingeandika ulichokiandika hapa..!
Na sikiliza bwana.
Kufanya kazi kwa bidii haimsadii mtu kama anachopata kinaishia kwenye mifuko iliyotoboka kwa kutobolewa na mifumo ya rushwa na ufisadi wa viongozi wa serikali, kodi na tozo onevu kwenye huduma (simu, fedha, umeme, usafiri nk) na bidhaa (petrol nk) kiasi cha kila tunachopata kwa kufanya kwetu kazi kwa bidii kuchukuliwa na serikali ya kifisadi na kutumiwa na wao pekee yao kifisadi..
Hapo ndipo ulipo ugomvi wa wananchi na serikali yao. Hatuitaki serikali iliyojiweka yenyewe madarakani...
Tunataka iwajibike kwa aidha kukaa chini na kubadilika au iondoke ili kuruhusu ije serikali nyingi sikivu na inayowajibika kwa wananchi..
Kiini cha ugomvi upo hapa. 👇🏻👇🏻
Kwamba, tunaandamana mioyoni na waziwazi ili serikali itimize wajibu wake na kama hii iliyopo imeshindwa, basi iondoke ilI kupisha serikali nyingine. Hili haliwezi kusubiri au kwenda kwa utaratibu wa kawaida.
Ni kwa kutumia shinikizo la umma (public pressure) ili kulazimisha mambo kutokea..
It can't be useful to a manipulative and ignorant person like you..!
Mjinga wewe.
Hujui usemalo wala ujualo because of your wickedness ..
Na kwa sababu labda wewe unakula vya kifisadi na wizi halafu unabwatuka hapa kuita wenzio "wavivu"
Shame on you..
Tukutane kyelaUsilie Mambo bado
Lazima kuwe na mazingira wezeshisiasa ni sayansi ndrugu zango 🐒
dawa ya ugumu wa maisha yako ni kufanya kazi kwa bidii tu na sio kulaumu au kumsingizia mwingine 🐒
it can't be and it is useless....
uvivu wako ndio mzigo na msalaba wako, ubebe mwenyewe 🐒
may be maarifa, woga na uthubutu binafsi...Lazima kuwe na mazingira wezeshi
HakikaHabari Njema Sana Hii Mwanga Unaonekana
Kodi kibao ukifungua biashara, ukilima hujui utamuuzia nani? mahindi sahivi gunia ni 30,000 lakini mbegu mifumo 4 kwa ekari moja ni 60,000, bado hujakodi shamba, mbolea ya kupandia na kukuzia, kupalilia, kuvuna, kusomba, kutunza n.kmay be maarifa, woga na uthubutu binafsi...
kwa ujumla mazingira wezeshi nchini ni mazuri sana, yanaruhusu, ni salama kwa chochote kufanyika au kufanywa na yeyote..
Sasa kwa nini mnatuambia tuache kazi zetu tukapange mistari kuchagua viongozi? Hao viongozi ni wa kazi gani?siasa ni sayansi ndrugu zango 🐒
dawa ya ugumu wa maisha yako ni kufanya kazi kwa bidii tu na sio kulaumu au kumsingizia mwingine 🐒
it can't be and it is useless....
uvivu wako ndio mzigo na msalaba wako, ubebe mwenyewe 🐒
Huko wa kina Makala wanakopita, Mwenyekiti wa ccm akipita hao wanaokusanyika ni majobless?wafanya kazi kwa bidii hawawezi eti kuacha kazi zao mathalani mashambani, masokoni au malishoni wajiunge na wavivu ati mahali fulani kuna mtu anasababisha ugumu wa maisha yao 🤣
that is useless kabisa...
the priority of every able citizen here in Tz should be working hard and nothing else 🐒
fursa ni nyingi sana, ila hayupo wa kukulazimisha ufanye hiki au kile, ni uamuzi, hiyari yako, utayari, uthubutu na uchangamfu wako tu katika kuchangamkia hizo fursa...Sasa kwa nini mnatuambia tuache kazi zetu tukapange mistari kuchagua viongozi? Hao viongozi ni wa kazi gani?
wengi ni wakulima, wafugaji na wafanyibiashara wachapa kazi kwa bidii sana...Huko wa kina Makala wanakopita, Mwenyekiti wa ccm akipita hao wanaokusanyika ni majobless?
Dogo huwa unaamini katika miguvu na ubabe wa kijinga , Maisha hayako kama unavyodhaniwengi ni wakulima, wafugaji na wafanyibiashara wachapa kazi kwa bidii sana...
na hao sio laini zaidi ya maini kama wale wa maandamano
🌈 Punguza utoto.wengi ni wakulima, wafugaji na wafanyibiashara wachapa kazi kwa bidii sana...
na hao sio laini zaidi ya maini kama wale wa maandamano
unakumbuka niligombea ubunge nikiwa na bei gani vileDogo huwa unaamini katika miguvu na ubabe wa kijinga , Maisha hayako kama unavyodhani
Wewe endelea kuwa Chawa , sisi tuache tuendelee kupigania hakiunakumbuka niligombea ubunge nikiwa na bei gani vile
mie nadhani kuishi bila malalamiko ya ugumu wa maisha inawezekana kabisa.....
Yes,🌈 Punguza utoto.
mpiganie haki za wavivu sio, wasiojiamini, wasiopenda kufanya kazi na kujitegemeaWewe endelea kuwa Chawa , sisi tuache tuendelee kupigania haki
Simiyu wametisha sana.Kwa mujibu wa Ratiba iliyosambazwa na CHADEMA, leo ni zamu ya Mkoa wa Simiyu, ambako wananchi wataandamana mitaani kupinga Ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za Uchaguzi nchini Tanzania.
View attachment 2972494
Kama kawaida yetu na kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu tutawaletea kila kinachojiri.
Usiondoke JF
==========
Awali Mwamba kabisa akiwasili Mjini Bariadi
View attachment 2972734View attachment 2972737
Chuma Chikolii Moto
View attachment 2972773View attachment 2972774
Bariadi Moja hiyo , kimenuka rasmi
View attachment 2972796
View attachment 2972799View attachment 2972801View attachment 2972840View attachment 2972842View attachment 2972844