Simkubali Haji Manara na ana Matatizo yake, ila kwa hili la Clatous Chama namuamini 100% na wana Simba SC tusidanganywe na Uongozi wetu

Hongera sana Chige kwa ufafanuzi uliotukuka,it seems your parents didn't waste their school fees.
 
Bado mnaongelea habari za chama, mbona ilo suala lishamalizwa mda mrefu uliopita sasa hivi watu wanaendelea na mambo mengine, Pale yanga kuna mtu makini anaitwa Senzo mbatha mazingiza, uyu bwana ndo sterling wa kila kitu apewe heshima yake yuko smart sana kwenye masuala ya kiuweledi, uyu mwamba kipindi yuko simba ndie aliefanikisha usajili wa Luis mikson baada ya klabu yake ya Afrika kusini kugomea kumwachia kipindi yuko ud songo kwa mkopo, ivyo suala la chama lilikuwa ni jambo dogo sana kwake kukamilisha mchakato wake ilimradi tu kilichokuwa kinasubiliwa ni ridhaa ya kocha alipomkubali kazi ikakamilishwa kimya kimya, ivyo suala la chama limeshamalizwa kinachosubiliwa ni asilimia 10% tu ya kujiunga na yanga January,
 
Vyovyote itakavyokuwa,.SIMBA inahitaji kutulia na kufanya mipango yake kisayansi.
Iachane na style ya YANGA ( Manara ) ..ni sawa na pressure ya soda.

Sioni YANGA ya kisasa zaidi ya propaganda na soka mitandao. Wanadanganyika na matokeo ya mechi hizi za mwanzo kwamba wako vizuri
.Kumbuka Manara anajaribu kufanya kila analoweza ili kumuumiza MO ..Na ndivyo anavyoshawishi hivyo menejimenti ya YANGA iende kwa mawazo yake,. kinachomuumiza Manara ni MO wala si SIMBA...akiwa pekee yake ana rangi Nyekundu, akija public ni Kijani...Acha amshawishi CHAMA wa 2019/20 2020/21.
Simba ina falsafa yake, fans wake. Ni wakati wa kumpa full support MO...kumuunga mkono. This guy is Simba.

Simba ni kambi kubwa yenye watu wenye BRAINS..Ni wakati wa kuonyesha msuli wenu
 
Kelele nyingiiii ujaonyesha comenti yoyote ya chama pia ujaonyesha icho unachosema hakuna mkataba wa kumtaka kurejea Simba Kama akishindwa. Unaishia kujiumauma tu ooh Mimi simba. Aliyekwambia wewe nyani Nani? Mpaka useme wewe Simba?
 
Hivi watanzania mlirogwa na shetani gani ?Hivi kama simba wangekuwa wanajua bila Chama kuwepo kwenye timu yao hawawi Simba kweli wangemuuza?
Uongo wa kitoto tunaamini kisa kasema try again!
 
Usipende sana kudakia mambo na kukifanya mjuaji sana mitandaoni. Hapo jamaa katolea mfano na amesema kabisa ni mfano.
 
Kama anataka kujiroga aende yanga basi ajue ndio kituo chake cha kustafia kwanza sasa hivi kwenye timu yake anakaa benchi na kwenye timu ya taifa hajacheza match zote tofauti na mwenzake bwalya aliyeanza kwenye match ya Mauritania.
 
Chama aende yanga, then simba wataenda kumchukua Tuwi la Kisinda eiiiiii patachimbikaaaa hapo
 
Usipende sana kudakia mambo na kukifanya mjuaji sana mitandaoni. Hapo jamaa katolea mfano na amesema kabisa ni mfano.
Hata kama ni mfano, zipo kanuni za kutolea mifano ambazo zinakubalika logically nanmifano yake tunasema ni mifano "hai"

Alichokiandika jamaa hakipo kwenye mizani ya mfano, alichokiandika basically ni utani
 
Mtu mwenyewe ana ngoma miwaya ndio maana waraabu wamemtimua. Wenye kumbukumbu rejea Costantine Kimanda na Methold Mogela.
 
Kwa nguvu ya mpunga na mipango komoa wala sitoshangaa kwetu Yanga kumkosa Aucho na Bangala baada ya kukimbilia SIMBA na pia sitoshangazwa kwa Chama kuja mtaa wa Twiga na Jangwani.......

Muda ni mwalimu mzuri.....

#DaimaMbeleNyumaMwiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…