Simkubali Haji Manara na ana Matatizo yake, ila kwa hili la Clatous Chama namuamini 100% na wana Simba SC tusidanganywe na Uongozi wetu

Uto na mtu wenu makini Senzo ha ha
 
Umeongea point sana Mkuu.
 
Na hata kama hivyo vipengele vipo bado kuna mazingira ya kufanya vipengele visifuatwe...

Lazima pawe na kifungu kinachompa haki Chama kutengua hicho kifungu au mkataba mzima!...
Ukajitahidi kuchambua lakini wapi
 
Wewe sio Simba, wewe ni utopolo 🚮
 
Chama yuko simba sasa, vp unajionaje na huo mkeka ulioandika hapo
 
Endelea kumuamini 100% kama ulivyo ahidi.
Huyo ndio Manara.
 

[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…