Simkubali Ndugai lkn siwezi kumsingizia uongo!!

Simkubali Ndugai lkn siwezi kumsingizia uongo!!

Mishenyi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2019
Posts
464
Reaction score
748
Simpendi Ndugai kwa ujinga wake mwingine lkn kwa swala la leo wala hakusema vibaya,,,alijaribu kuwaambia watu kwamba mpango wa tozo ni bora zaidi kwetu kwa sababu tunakuwa tumeweza kujitegemea kama wtz kuliko kukopa,,,hivyo kwa hili wala hakuwa na lengo baya kabisaaaaaaa!!! Wtz tujifunze kujigharamia mambo yetu wenyewe haiwezekani tozo ndogo tu iwe kelele,,,

Shida ni moja kwamba nchi imejaa wezi wamaoiba tozo hizo kujinufaisha alafu wanatutambia mtaani kwamba sisi ni wazembe,si wabunifu kiufupi wezi wa mali za umma wana masimango!!!!

#Mbowe ni mzalendo si Gaidi
 
Simpendi Ndugai kwa ujinga wake mwingine lkn kwa swala la leo wala hakusema vibaya,,,alijaribu kuwaambia watu kwamba mpango wa tozo ni bora zaidi kwetu kwa sababu tunakuwa tumeweza kujitegemea kama wtz kuliko kukopa,,,hivyo kwa hili wala hakuwa na lengo baya kabisaaaaaaa!!! Wtz tujifunze kujigharamia mambo yetu wenyewe haiwezekani tozo ndogo tu iwe kelele,,,

Shida ni moja kwamba nchi imejaa wezi wamaoiba tozo hizo kujinufaisha alafu wanatutambia mtaani kwamba sisi ni wazembe,si wabunifu kiufupi wezi wa mali za umma wana masimango!!!!

#Mbowe ni mzalendo si Gaidi
Haaahaaahaa!! Kwamba, wezi wa Mali za Umma wana Masimango
 
Binafsi nimesoma hii habari sehemu mbalimbali, Ndugai ameuma na kupuliza, kuna sehemu anasema “ hivi karibuni mama amekopa 1.3t, wakati huo kuna madarasa na vituo vya afya vimejengwa kwa hela za tozo, je ni bora kuendelea kukopa au tutumie hizi tozo zetu? Ukisoma vizuri ni kama Ndugai hajafurahia Mama kuendelea kukopa, binfsi nadhani Ndugai hajaona faida za huo mkopo au anajua unaenda sehemu ambayo hela za tozo zingetosha na kulikuwa hakuna sababu ya kukopa hii hela.
 
Haaahaaahaa!! Kwamba, wezi wa Mali za Umma wana Masimango
We acha tu umkute mtu amepatia mrija wa mali za mazombi ya tz yaani anatuna kwl kwl muda wote kuwaona watu wazembe,hawafanyi kazi,siyo wqbunifu huku akisahau kwamba yeye ndo kikwazo cha maendeleo yao
 
Binafsi nimesoma hii habari sehemu mbalimbali, Ndugai ameuma na kupuliza, kuna sehemu anasema “ hivi karibuni mama amekopa 1.3t, wakati huo kuna madarasa na vituo vya afya vimejengwa kwa hela za tozo, je ni bora kuendelea kukopa au tutumie hizi tozo zetu? Ukisoma vizuri ni kama Ndugai hajafurahia Mama kuendelea kukopa, binfsi nadhani Ndugai hajaona faida za huo mkopo au anajua unaenda sehemu ambayo hela za tozo zingetosha na kulikuwa hakuna sababu ya kukopa hii hela.
Sawa lkn hajaongea kwa ubaya kiviiiile!! Samia anachoanza kunikere ni kupenda lawama na pia kumsingizia Mbowe ila mengine mengi namuunga mkono
 
Sawa lkn hajaongea kwa ubaya kiviiiile!! Samia anachoanza kunikere ni kupenda lawama na pia kumsingizia Mbowe ila mengine mengi namuunga mkono
Mkuu wanajua wanachotufanyia Watanzania hao, binafsi naona tuache watunishane tu misuli mwisho tutajua mengi.
 
Ndugai ameweka ugogo wake pembeni na ujinga wake.
Ameongea vyema kabisa.
 
Na yale makofi alikuwa anapiga sarcastically yalikuwa ya nini?
 
Tusipindishe ukweli ni hivi nchi itauzwaaa endeleeni kudemka[emoji116]
JamiiForums-124772545.gif
JamiiForums-277116721.gif
 
Hata tukmuliwe mpaka damu ya mwisho, kwa hali ya maisha ya $1 kwa siku hatuwezi kukusanya za ndani na kuendelea kufanya miradi mikubwa

Aidha tujichangishe na kuishi maisha ya kawaida kuliko kukamuliwa eti hizo hela zitajenga miundombinu, madawa, shule nk hapana
Madeni hayazuiliki kwa miradi mikubwa
Labda wizi uishe
 
Back
Top Bottom