Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzeee ukisikia bilionnaire items of USD Mambo sio mepesi hivyoAnother billionaire in town
Siyo kila mchezaji anasajili kwenye timu kwa sababu ya mshahara tu! Wakati mwingine ni mapenzi tu binafsi na klabu husika.Akisaini utopolo mshahara milioni 6 atakuwa kichaa
whatever works he's a millionaireMzeee ukisikia bilionnaire items of USD Mambo sio mepesi hivyo
Hapo umetishaaaa sanawhatever works he's a millionaire
Hivi kweli efua na joyce watakuwa kushoto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii ni yanga Princess?Baada ya Kulipwa mtakutana naye Upande wa kulia wakiwa na Djuma Shabani kule kushoto atakuwepo Limolisa na Morison. Hapo kati tunaweza tukacheza na Feisal, Aucho, Sure Boy nk. Pale mbele kutakuwa na Mayele.....
Litakufa Jitu....
Hayo mambo yalikuwepo zamani,hata hivyo Msuva tumekua bae huku ubungo kibo ni Simba damu na alianzia simba B wakamzingua baba take akampeleka yanga,Siyo kila mchezaji anasajili kwenye timu kwa sababu ya mshahara tu! Wakati mwingine ni mapenzi tu binafsi na klabu husika.
Hakuna billionaire hapo, billionaire hatambulishwi kwa pesa za madafu (Tsh), Akina Ronaldo wenyewe bado ni millionaires leo ije kwa huyu msuva?Another billionaire in town
Heeeeeh, Super League gani tena?? Ikiwa hata wenye point 0.5 watashiriki basi hayatakuwa na mvuto wowote kabisa.Pale Morrison ......... Mayele.........msuva
Hapa lazima makombe yote yachukuliewe
CAF champions
CUF ya lipumba
Super league
Aina hii ya wivu upo qualified kua mchawiHakuna billionaire hapo, billionaire hatambulishwi kwa pesa za madafu (Tsh), Akina Ronaldo wenyewe bado ni millionaires leo ije kwa huyu msuva?
Hii kauli wakiisikia mabillionaire halisi watachukia sana, kama jinsi ambavyo wasomi wanachukia kusikia Musukuma nae ni Dr.
Sasa ulitaka ni kubali kwa Msuva ni billionaire wakati sio? Kwa jinsi ulivyompamba na ubilionea ambao kimsingi hana, wewe hauna tofauti na machawa tunaowajua.Aina hii ya wivu upo qualified kua mchawi
Keshalipwa?Ameshinda shs. b1.6 asema hatacheza tena ligi za Tanzania.
ITV 13/07/2022
Hakulipw. Juzi lilipotoka tamko la kuifungia Yanga kufanya usajili kwa kushindwa kumlipa Okrah, lilitoka pia tamko la kuifungia Wydad kwa kushindwa kumlipa MsuvaKeshalipwa?