py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,476
- 4,448
Mchezaji wa zamani wa yanga Simon Msuva aliyetimkia kwa watabe wa soka barani Afrika klabu ya Difaa el Jadida ya nchini Morocco Leo pamoja na wachezaji wenzake wametimkia nchi jirani ya Hispania kuweka kambi kwaajili ya kujiandaa na ligi ,wakiwa huko watacheza na mechi za kirafiki