ni mchezaji bora wa mwezi sio timu bora ya mwezi.ujinga mtupu, liCHURA lake limefungwa alafu yeye anapewaje mchezaji bora???
uwe unasoma na kuelewa ww chura msaidizi!ni mchezaji bora wa mwezi sio timu bora ya mwezi.
Wewe ndo mbumbumbu kama lilivyo timu lenu.uwe unasoma na kuelewa ww chura msaidizi!
timu yake imefungwa amepewaje hiyo tuzo???
haya ni maajabu, huyu MSUBA ameisaidia timu yake kufungwa na chama la wana na mbeya city alafu alinganishwe na mh kichuya aliyeisaidia timu yake kutokupoteza mechi hata moja, na bado ni top scorer!TFF mmeanza hujuma kwa wanyama
Wazee wa kulalamika.TFF mmeanza hujuma kwa wanyama
Achana naye huyo mbumbu fc!ni mchezaji bora wa mwezi sio timu bora ya mwezi.
Huyo Kichura imesaidia timu yake kufungwa na watoto wa mjini African Lyon!haya ni maajabu, huyu MSUBA ameisaidia timu yake kufungwa na chama la wana na mbeya city alafu alinganishwe na mh kichuya aliyeisaidia timu yake kutokupoteza mechi hata moja, na bado ni top scorer!
Ukiwa na roho mbaya ni shida sana..elewa basi umeambiwa mchezaji bora kulingana na vigezo vilivyotumika na sio timu bora acha wivu wewehaya ni maajabu, huyu MSUBA ameisaidia timu yake kufungwa na chama la wana na mbeya city alafu alinganishwe na mh kichuya aliyeisaidia timu yake kutokupoteza mechi hata moja, na bado ni top scorer!
aki ya nani tena mi nilijua hukuisoma hiyo habari...ila kama umeisoma na ukapost hayo mashudu basi kichwa chako hakipo sawa.uwe unasoma na kuelewa ww chura msaidizi!
timu yake imefungwa amepewaje hiyo tuzo???
We mbumbumbu vipi Kichuya atachukua kweli?uwe unasoma na kuelewa ww chura msaidizi!
timu yake imefungwa amepewaje hiyo tuzo???
Mkuu OKW BOBAN SUNZU nimempata aliyempiga msumari Kichuya. Njoo ujionee mwenyewe.Msuva ni mchezaji bora wa wakati wote,hawa wa upepo ukipita hawapo watasubiri sana tuzo.
Mchezaji wa Yanga, Simon Msuva ametangazwa kuwa mchezaji bora kwa mwezi Oktoba akiifungia timu yake magoli manne na kutoa pasi 5 za mwisho na kuisaidia timu yake kukusanya jumla ya alama 14 katika mechi sita ilizocheza. Kwa kuchaguliwa huko, Msuva atazawadiwa Tshs milioni moja na mdhamini wa ligi hiyo, kampuni ya Vodacom
Msuva alikuwa akiwania tuzo hiyo pamoja na wachezaji wengine wawili ambao ni Shiza Kichuya na Muzamiru Yasin wote kutoka klabu ya Simba.