Simpendi Dada Yangu!

Asante kwa ushauri Ashadii. Tupo wanne na huyo dada kanizidi miaka kumi.



Katavi that explains it all... tafakari chukua hatua... she is more of a mlezi than dada...
 
Heshima Katavi,

Nakushauri mwite Dada yako mweleza haya uliyoandika hapa jamvini pengine tatizo likamalizwa na mhusika mkuu kwa njia rahisi kuliko ulivyofikiri.
 
1. inaonekana dada yako ana tabia ambazo wewe kama wewe huzipendi na hazikuvutii
2.kutokana age gape yenu kuwa kubwa unajikuta hauko huru ktk baadhi ya mambo
 
Mimi ilitokea kumchukia baba yangu mzazi kama wewe unavyomchukia dada yako! na mimi sikuwa na amani kabisa akiwepo. Lakini yalishapita sa ivi ni marafiki sana tu. Labda niseme tu wewe time will tell utajikuta unampenda dada yako
 
Ni kawaida fisrt born na last born kuto pendana

wazazi wanakuwaga very strict na first born
halafu wanawadekeza sana last born....

Sasa yaweza kuwa dada yako alikuwa hapendi hiyo na alikuwa strict na wewe
sasa wewe waweza kuwa ulichukulia kama ana chuki na wewe

halafu tofauti ya miaka ina maana ile bond hamkuweza kuijenga,bond ya kindugu
ukichukulia ni jinsia tofauti......

Ushirikina waweza ku play kama kwenye ukoo kuna imani hizo
 
Mkuu Heshima Mbele,
The Boss Amezungumza mambo ya msingi sana, Labda kwa kuongezea ni kwamba wewe kama mtoto pekee wa Kiume unaona kuwa nafasi yako ya kuwa Kiongozi katika Familia imemezwa na Dada yako hivyo mara zote unajikuta kuwa Unataka kufanya mambo yako lakini unakuta kuwa yeye anataka ufanye katika namna ambayo yeye anafikiri, au unapotoa mawazo yako yeye anayakosoa, hivyo mnaingia katika mgongano wa mawazo na nafasi katika familia, Ki-msingi familia inakuwa na wazaliwa wa kwanza wawili!!! Kitu ambacho ni kigumu wewe kukikubali na hasa ukizingatia kuwa Dunia imeumbwa na kutawaliwa na Mfumo Dume.
 
 
 
watu wengine wanapenda kuropoka pasina sababu, mtu kaomba ushauri watu wengine wanaanza kufikia mambo mengine
 
 
inawezekana alikutesa ukiwa mdogo maybe,au ni mshirikina, sioni kwa nn unakuwa hivo, au hujiamini maybe
 

Hapa mkuu umegonga IKULU. case closed.
 
Lakin thread haijaeleza sababu za kumchukia, je jambo gani amefanya mpaka ukawa humpendi. Umedai una mfadhaiko, neno mfadhaiko ni pana sana! Nahisi kuna kitu nyuma ya pazia.
 
Lakin thread haijaeleza sababu za kumchukia, je jambo gani amefanya mpaka ukawa humpendi. Umedai una mfadhaiko, neno mfadhaiko ni pana sana! Nahisi kuna kitu nyuma ya pazia.
Kuna sehemu nimesema napata mfadhaiko?
 
Pole kaka inwezekana huyo dada yako alikuwa na katabia ka kukurekebisha tabia ulipokuwa unapinda ndio maana unamuogopa sio kumchukia humchukii kaka
 
Kuna sehemu nimesema napata mfadhaiko?

kukosa amani na ile hali ya kujiamini kupotea kabisa unapomuona dada yako si umesema hivyo au?! huo ndio mfadhaiko wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…