Asante kwa ushauri Ashadii. Tupo wanne na huyo dada kanizidi miaka kumi.
Mkuu Heshima Mbele,Ni kawaida fisrt born na last born kuto pendana
wazazi wanakuwaga very strict na first born
halafu wanawadekeza sana last born....
Sasa yaweza kuwa dada yako alikuwa hapendi hiyo na alikuwa strict na wewe
sasa wewe waweza kuwa ulichukulia kama ana chuki na wewe
halafu tofauti ya miaka ina maana ile bond hamkuweza kuijenga,bond ya kindugu
ukichukulia ni jinsia tofauti......
Ushirikina waweza ku play kama kwenye ukoo kuna imani hizo
kuna uwezekano mkubwa saaana kua wazazi wanakupenda wewe most (ni last born na the only boy) to the extent kua wanakudekeza kupita maelezo. Hilo suala husababisha dada yako kua mlezi mzuri kwako kuliko hata wazazi, Yawezekana yeye ndie uhakikisha uko katika mstari, kukujenga na kukuelekeza mienendo ya maisha, kukukemea ukikosea n.k - Kwa ufupi Yaani yeye ndie kachukua nafasi ya malezi bora - yoote yale ambayo mzazi anafanyia wanawe (na ndio maaana watoto wengi huchukia wazazi maana huona kama wanaonewa ama kukabwa - mpaka awe mkubwa na akili timamu ndio anajua kua ah! kumbe wazazi had best interest in me) Hivo hiyo chuki ambayo ingelenga wazazi ipo kwa dada ambae anafanya mambo dhidi yako out of LOVE.
Msome vyema AshaDii kuna point za maana sana hapo .kazi n kwako
Nakubaliana nawe mdau.
Inawezekana kabisa wazazi wanakulea kiaina ambayo dada mkubwa inabidi ashikilie ukanda ili usiharibikiwe. Kwa yeye kufanya hivyo labda ndio hapo unapoanza kumchukia na kuona anakubania, ili hali yeye ana nia njema tu. Labda ungekuwa muwazi zaidi kuwa kwa nini unamchukia?
Ishu ya kwa nini namchukia sijui na ndio maana nauliza hii ishu ni kawaida?<br />
<br />
Nakubaliana nawe mdau.<br />
Inawezekana kabisa wazazi wanakulea kiaina ambayo dada mkubwa inabidi ashikilie ukanda ili usiharibikiwe. Kwa yeye kufanya hivyo labda ndio hapo unapoanza kumchukia na kuona anakubania, ili hali yeye ana nia njema tu. Labda ungekuwa muwazi zaidi kuwa kwa nini unamchukia?
Maybe unamchukia sababu she has things you dont have, kama self confidence au wazazi wanamthamini zaidi yako kwa vile yeye ni mkubwa.Ishu ya kwa nini namchukia sijui na ndio maana nauliza hii ishu ni kawaida?
We mwenyewe unahisije kuhusu dada? ni mtu anajiweza kimaisha kuliko unavo jiweza wewe? au uhusuano wake na wazazi ni ule ungependa uwe nao? ao maisha yake na familia yake unaya tamani? Hivyo ni baadhi ya vitu vinaweza kukufanya ujihisi unapoteza confidence anapokua karibu.
Pia jaribu kukumbuka uhusiano wenu mlivo kua wadogo. Maybe alikua anapendelewa na wazazi au alikua anakuonea kwa vile ni mkubwa na ikaacha kovu.
Katavi sijui mko wangapi katika familia... lakini ni dhahiri kitendo chakua ni last born tena Mvulana ni kitu ambacho wazazi wako walifurahia mno ulipopatikana/zaliwa maana ukute walisha kata tamaa ya kua na mtoto wa kiume... Sijajua umepishana umri gani na dadako (hio ingetoa picha kamili ya hali halisi ) Ila kitu ambacho nimekisoma mimi ni kua kuna uwezekano mkubwa saaana kua wazazi wanakupenda wewe most (ni last born na the only boy) to the extent kua wanakudekeza kupita maelezo. Hilo suala husababisha dada yako kua mlezi mzuri kwako kuliko hata wazazi, Yawezekana yeye ndie uhakikisha uko katika mstari, kukujenga na kukuelekeza mienendo ya maisha, kukukemea ukikosea n.k - Kwa ufupi Yaani yeye ndie kachukua nafasi ya malezi bora - yoote yale ambayo mzazi anafanyia wanawe (na ndio maaana watoto wengi huchukia wazazi maana huona kama wanaonewa ama kukabwa - mpaka awe mkubwa na akili timamu ndio anajua kua ah! kumbe wazazi had best interest in me) Hivo hiyo chuki ambayo ingelenga wazazi ipo kwa dada ambae anafanya mambo dhidi yako out of LOVE.
What to do Ni vizuri saaana kua umetambua kua wamchukia.... pamoja na kusema haipendezi. Hivo hio ni first stage, stage inayo fuata hapo ni wewe kujiuliza (free of emotions - yaani logicaly) ni vitu gani hasa akifanya dadako ndio huongeza chuki! Ukipata jibu hapo utajua kua je una haki ama una haki... na ni muhimu kua uliangalie hili suala vizuri saaana. Na toka maelezo yako ni dhahiri dada akutesi wala kukunyanyasa - maana lazima katika maelezo ungegusia kua anafanya hivo. Hivo Katavi, tumia busara urudi katika mstari na utafakari upya chuki yako.
N:B Nimekutana sana nawe jamvin, you are one of the most peaciful JF member ninae mfahamu.... nimeshangaa saana kukuta una hii issue hivo kunifanya nijue kua kweli hili suala liko critical kwako. BEST OF LUCK.... katika Ku resolve.
Pamoja Saaaana.
ADI
Kuna sehemu nimesema napata mfadhaiko?