Mkuu Heshima Mbele,
The Boss Amezungumza mambo ya msingi sana, Labda kwa kuongezea ni kwamba wewe kama mtoto pekee wa Kiume unaona kuwa nafasi yako ya kuwa Kiongozi katika Familia imemezwa na Dada yako hivyo mara zote unajikuta kuwa Unataka kufanya mambo yako lakini unakuta kuwa yeye anataka ufanye katika namna ambayo yeye anafikiri, au unapotoa mawazo yako yeye anayakosoa, hivyo mnaingia katika mgongano wa mawazo na nafasi katika familia, Ki-msingi familia inakuwa na wazaliwa wa kwanza wawili!!! Kitu ambacho ni kigumu wewe kukikubali na hasa ukizingatia kuwa Dunia imeumbwa na kutawaliwa na Mfumo Dume.
Maybe unamchukia sababu she has things you dont have, kama self confidence au wazazi wanamthamini zaidi yako kwa vile yeye ni mkubwa.
We mwenyewe unahisije kuhusu dada? ni mtu anajiweza kimaisha kuliko unavo jiweza wewe? au uhusuano wake na wazazi ni ule ungependa uwe nao? ao maisha yake na familia yake unaya tamani? Hivyo ni baadhi ya vitu vinaweza kukufanya ujihisi unapoteza confidence anapokua karibu.
Pia jaribu kukumbuka uhusiano wenu mlivo kua wadogo. Maybe alikua anapendelewa na wazazi au alikua anakuonea kwa vile ni mkubwa na ikaacha kovu.
Pole kaka inwezekana huyo dada yako alikuwa na katabia ka kukurekebisha tabia ulipokuwa unapinda ndio maana unamuogopa sio kumchukia humchukii kaka
Asante kwa ushauri Ashadii. Tupo wanne na huyo dada kanizidi miaka kumi.
Inawezekana......Unamchukia kwa sababu wewe ni mtoto wa mwisho tena wa kiume ,yaonekana wazazi wanakulea kama yai,ila dada yako ndio aliyeweza kukukemea na kukukanyahasa ulipokuwa mdogo,kwa miaka mliyopishana yeye ndie alikuwa mlezi wako mkubwa yaani kukulisha na hata kukuogesha.
Ahahahaah!! Sijui kwa nini...
<br />kwanini ulimfanyia nini mbona unakuwa hujiamini..
Kaolewa na ana mtoto mmoja...Pole <br /><br />
<br /><br />
Mimi nahisi lazima ulipokuwa mdogo alikuwa anakupelekesha na brain yako inaweza kuwa kwa mbali bado hiyo kitu ipo ila wewe huwezi kukumbuka vizuri.<br /><br />
<br /><br />
Hii inaweza kuwa ndio imekuaffect kiaina fulani. <br /><br />
<br /><br />
Mie sijui upo wapi ila ingekuwa vizuri ungeonana na wajuzi wa kukusaidia kuondokana na hii fear ulionayo wazungu huwa option yao kubwa ni hypnosis na inasaidia kukurudisha huko nyuma na utaona tatizo lipo wapi.<br /><br />
<br /><br />
Pole sana anaweza kuwa alikuwa anakuonea wivu wa attention uliyokuwa unapewa na wazee au kuna maneno wazee walikuwa wanasema na wewe kama a son unakuwa na mamlaka mengi kifamilia kuliko yeye alie wa kike so kuna mengi hapo<br /><br />
<br /><br />
Au ongea na wazazi wako au mmoja wao utakavyojisikia uone kama wanaweza kukusaidia.<br /><br />
<br /><br />
N.B. Katika familia duniani siblings wengine wanakuwa na tabia za ajabu utazani wengine sio damu moja<br />
<br />
Pia dada ameolewa? Ana urafiki na mtu? Anaishi bado kwa wazazi?
Kweli eeeh....
Katavi sijui mko wangapi katika familia.. et cetera......
..Ralph Marston alisema 'WORRY is your own creation...and FEAR is nothing more than a response you have chosen'...et cetera...
... Katavi msome ashadii pamoja na hawa wengine hapa chini lazima tatizo lako katika haya waliyozungumza..et cetera