Taifa hili linaangamia kwa kuendekeza mambo ya hovyo na kuwapa umaarufu watu wa hovyo. Na ndiyo chanzo cha uchawa na machawa kuenea sana hivi sasa.
Your browser is not able to display this video.
Huyu Peere Liquid alikabidhiwa bendera na serikali eti awe kiongozi wa mashabiki wa Taifa Stars ilipoenda kushiriki AFCON. Mambo ya ajabu kabisa. Serikali haikutuona akina Sexless ?
Kabla yake alikuwepo Dr. Shika, tapeli aliyevuruga mnada wa mamilioni uliokuwa unaendeshwa na Majembe Auction Mart, kwa maneno ya mzaha tu.
Na hii ndiyo inazidi kuzalisha akina Mwijaku na Babalevo, watu wazima wanaona fahari kucheza wakiwa wamejifunga taulo tu.
Pia ameibuka mwanadada Mashalove anayetikisa makalio akiwa amevaa taulo tu mbele ya hadhara. Na mamlaka zinamwangalia tu.
Makonda ni zero brain ila alikua na uthubutu. Makonda alikataza magari yasiyohusika kutumia siren lights/ving'ora 🚨 na alifanikiwa. Leo hii hadi bajaji zina sirens ukienda Mbeya usiku ni kama Christmas tree kila bajaji ina siren lights kazi ambayo mipolisi imeshindwa kabisa kuthibiti.
Taifa hili linaangamia kwa kuendekeza mambo ya hovyo na kuwapa umaarufu watu wa hovyo. Na ndiyo chanzo cha uchawa na machawa kuenea sana hivi sasa. View attachment 2860244
View attachment 2860247
Huyu Peere Liquid alikabidhiwa bendera na serikali eti awe kiongozi wa mashabiki wa Taifa Stars ilipoenda kushiriki AFCON. Mambo ya ajabu kabisa. Serikali haikutuona akina Sexless ?
Kabla yake alikuwepo Dr. Shika, tapeli aliyevuruga mnada wa mamilioni uliokuwa unaendeshwa na Majembe Auction Mart, kwa maneno ya mzaha tu.
Na hii ndiyo inazidi kuzalisha akina Mwijaku na Babalevo, watu wazima wanaona fahari kucheza wakiwa wamejifunga taulo tu.
Pia ameibuka mwanadada Mashalove anayetikisa makalio akiwa amevaa taulo tu mbele ya hadhara. Na mamlaka zinamwangalia tu.
Taifa hili linaangamia kwa kuendekeza mambo ya hovyo na kuwapa umaarufu watu wa hovyo. Na ndiyo chanzo cha uchawa na machawa kuenea sana hivi sasa. View attachment 2860244
View attachment 2860247
Huyu Peere Liquid alikabidhiwa bendera na serikali eti awe kiongozi wa mashabiki wa Taifa Stars ilipoenda kushiriki AFCON. Mambo ya ajabu kabisa. Serikali haikutuona akina Sexless ?
Kabla yake alikuwepo Dr. Shika, tapeli aliyevuruga mnada wa mamilioni uliokuwa unaendeshwa na Majembe Auction Mart, kwa maneno ya mzaha tu.
Na hii ndiyo inazidi kuzalisha akina Mwijaku na Babalevo, watu wazima wanaona fahari kucheza wakiwa wamejifunga taulo tu.
Pia ameibuka mwanadada Mashalove anayetikisa makalio akiwa amevaa taulo tu mbele ya hadhara. Na mamlaka zinamwangalia tu.
Taifa hili linaangamia kwa kuendekeza mambo ya hovyo na kuwapa umaarufu watu wa hovyo. Na ndiyo chanzo cha uchawa na machawa kuenea sana hivi sasa. View attachment 2860244
View attachment 2860247
Huyu Peere Liquid alikabidhiwa bendera na serikali eti awe kiongozi wa mashabiki wa Taifa Stars ilipoenda kushiriki AFCON. Mambo ya ajabu kabisa. Serikali haikutuona akina Sexless ?
Kabla yake alikuwepo Dr. Shika, tapeli aliyevuruga mnada wa mamilioni uliokuwa unaendeshwa na Majembe Auction Mart, kwa maneno ya mzaha tu.
Na hii ndiyo inazidi kuzalisha akina Mwijaku na Babalevo, watu wazima wanaona fahari kucheza wakiwa wamejifunga taulo tu.
Pia ameibuka mwanadada Mashalove anayetikisa makalio akiwa amevaa taulo tu mbele ya hadhara. Na mamlaka zinamwangalia tu.
Unanikumbusha story ya Shaban robert katika kitabu chake cha nchi ya kufikirika/kusadikika,mfalme alikuwa anaumwa ikatakiwa mjinga mmoja na mwerevu mmoja watolewe kafara ili apone,shida aliyetumwa aliamua mtu yoyote mwenye pesa atakuwa mwerevu na akachagua maskini mmoja kama ndo mjinga.ukisoma kitabu mpaka mwisho yule aliyechaguliwa kama mjinga aliweza kuprove yeye sio mjinga,so kigezo kikawa sio sahihi.Mpaka sasa sijaelewa kipimo gani Makonda au mtoa mada kilichowafanya muone jamaa ni mtu wa hovyo.Watu kama professor shaba,hubert heistein,bob marley au akina Elon Musk kuna upande ukiwakuta utasema ni watu wa ovyo kwa vigezo flani.Fikiria umkute elon anavuta bangi zake na humjui utamfikiriaje,fikiria Nyerere alivyomjudge Bob katika mkutano wa mataifa ya Africa Zimbwabe mwishoe akamkubali,Au umkute mzee mwenyewe Baba wa taifa anapiga kilaji yake ngum na humjui utamfikiriaje.Kila binadam ana potential au kipaji chake pale anapopewa nafasi,Na kila mtu ana ukichaa wake ukimkuta anaupractise lazima utamuona wa hovyo.
Taifa hili linaangamia kwa kuendekeza mambo ya hovyo na kuwapa umaarufu watu wa hovyo. Na ndiyo chanzo cha uchawa na machawa kuenea sana hivi sasa. View attachment 2860244
View attachment 2860247
Huyu Peere Liquid alikabidhiwa bendera na serikali eti awe kiongozi wa mashabiki wa Taifa Stars ilipoenda kushiriki AFCON. Mambo ya ajabu kabisa. Serikali haikutuona akina Sexless ?
Kabla yake alikuwepo Dr. Shika, tapeli aliyevuruga mnada wa mamilioni uliokuwa unaendeshwa na Majembe Auction Mart, kwa maneno ya mzaha tu.
Na hii ndiyo inazidi kuzalisha akina Mwijaku na Babalevo, watu wazima wanaona fahari kucheza wakiwa wamejifunga taulo tu.
Pia ameibuka mwanadada Mashalove anayetikisa makalio akiwa amevaa taulo tu mbele ya hadhara. Na mamlaka zinamwangalia tu.
Unanikumbusha story ya Shaban robert katika kitabu chake cha nchi ya kufikirika/kusadikika,mfalme alikuwa anaumwa ikatakiwa mjinga mmoja na mwerevu mmoja watolewe kafara ili apone,shida aliyetumwa aliamua mtu yoyote mwenye pesa atakuwa mwerevu na akachagua maskini mmoja kama ndo mjinga.ukisoma kitabu mpaka mwisho yule aliyechaguliwa kama mjinga aliweza kuprove yeye sio mjinga,so kigezo kikawa sio sahihi.Mpaka sasa sijaelewa kipimo gani Makonda au mtoa mada kilichowafanya muone jamaa ni mtu wa hovyo.Watu kama professor shaba,hubert heistein,bob marley au akina Elon Musk kuna upande ukiwakuta utasema ni watu wa ovyo kwa vigezo flani.Fikiria umkute elon anavuta bangi zake na humjui utamfikiriaje,fikiria Nyerere alivyomjudge Bob katika mkutano wa mataifa ya Africa Zimbwabe mwishoe akamkubali,Au umkute mzee mwenyewe Baba wa taifa anapiga kilaji yake ngum na humjui utamfikiriaje.Kila binadam ana potential au kipaji chake pale anapopewa nafasi,Na kila mtu ana ukichaa wake ukimkuta anaupractise lazima utamuona wa hovyo.
Ni kweli. Lakini tatizo liko pale udhaifu wa mtu unapozidi potential yake kwa kiwango cha juu. Anyways, Hao Makonda aliwataja walikuwa siyo watu wa hovyo bali ni wachekeshaji waliobuka kwa msimu. Ukweli ni kwamba Makonda mwenyewe ndiye mtu wa hovyo.