Clemence Mwandambo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 1,378
- 1,427
Utafiti wa kutokuwa na mafanikio umefanyia maabara ipiNjia za kujinga na Malaria zimeleta mafanikio,
Vipi njia za kujikinga na corona ni ipi iliyofanikiwa mpaka sasa?
yaani mwafrika no shida...sijui kama tutatoka kwa mindset hiziMkuu muafrika ni kuchapa viboko ndio anaenda.
Ni kweli nakasirika eti watu wanasubiri Rais aseme ndio wachukue tahadhari.. yaani Lawama zimezidi.Kwanza punguza jazba, halafu toa ushauri nini kifanyika kwa waafrika.
Hivi matokeo ya huu ugonjwa unahitaji uwe na maabara?Utafiti wa kutokuwa na mafanikio umefanyia maabara ipi
sikiliza wewee, chanjo ya mafua ipo na inatolewa kila mwaka kwenye nchi za wenzetu wenye miili rojo rojo. Chanjo ya Covid nayo ipo, inafanya kazi kuufundisha mwili namna ya kupambana na corona, aina hii ya chanjo inaitwa RNA vaccine ambayo hutumia njia inaitwa mRNA ( messenger RNA) kuzalisha kinga. Anachokifanya Magufuli japokua kinatucost roho za watu lakini ni sahihi, sisi hatuna uchumi wa kuwalipa watu wasipofanya kazi, marekani huko wana lockdown lakini wananchi wanapewa milioni moja kila mmoja ( dola 600 kila mmoja wa familia), huko uingereza kina rashford wameifanya serikali iwape watoto vyakula vya bure, sosi haya hatuyawezi, korona ni janga ila kwetu janga kubwa ni uchumi wetu wa dola bilioni 50. Kama tutauziwa kinga ya korona kwa bei wanayouziwa afrika kusini ya ~ dola 6 kwa dozi, tutatumia ~dola milioni 390 (~ shilingi bilioni 840) kwa dozi za watanzania wote. Bila msaada hizo hela hatuzipati. TRA wameambiwa wakusanye walau trilioni 2 kila mwezi kuanzia januari, tukifanya lockdown ndo kwaheri uchumi wetu
Dunia ingeenda kienyeji kama unavyotaka iwe,huenda ingeshaangamia,tena kwa kukosa maarifaHivi matokeo ya huu ugonjwa unahitaji uwe na maabara?
Kwani utafiti kwamba watu wanakufa kwa corona umefanyia maabara ipi?
KUTANGAZA KORONA IPO KUNASAIDIA KUONGEZA TAHADHARI SEHEMU ZA MIKUSANYIKO, MAHOSPITALI SASA HIVI HATA ISOLATION HAKUNA WAGONJWA WANALAZWA WARD MCHANGANYIKO NA WENGINE, HUONI KAMA HILI NI TATIZO? TUSISUBIRI IFIKE HATUA HALI IMEKUWA MBAYA.Hatua za awali zipi mkuu ambazo zina tija?
Na unapogusia fungu kutengwa, hili fungu litafanya kazi ipi yenye kufifisha ama kuondoa korona?
Kwa mawazo yangu itakuwa ni kupoteza muda na fedha.
Hakuna tatizo. Mbona wagonjwa wa malaria wanachanganyikana na wa ukimwi, wa TB na kaswende,wa kifaduro na wa ajali. Kwann korona? Vifo vya korona vina kelele isiyokuwa na maanaWAGONJWA WANALAZWA WARD MCHANGANYIKO NA WENGINE,
Leo alipokua anazindua miti amesema corona haikuwepo tz karbia mwaka mzima ulopita ila umeletwa tena kwa sasa na waliosafiri kwenda kufata chanjo sasa sijui kina nani. But Mm nipo na JPM kwenye hili. Tutamuomba Mungu tutafanya mazoezi ya kutembea juani mpk kielewekeNaona umeweka hisia zako zaidi.
Kinachopingwa zaidi ni kauli za "hakuna corona, tumemuomba Mungu akaiondoa"....kuhusu tahadhari basi kila mmoja ataona nini cha kufanya.
Hata huko kwingine wanapingana na hatua zinazowekwa kukabiliana na corona lakini hawakatai kwamba tatizo lipo.
Unajua tatizo linapoanzia ni kwamba huku nje ya Serikali tupo watu wengi sana wanye hekima, maarifa na busara zaidi kuliko viongozi wote wa Serikali yetu. Sisi tuliopo nje ya Serikali inaonekana tunajua zaidi kuliko viongozi wetu, hilo ndiyo tatizoKorona haina tiba wala haina kinga. Njia zote zinazoshauriwa ili kujikinga na korona ni za dhahania na nadharia tu. Ndiyo maana hakuna mahala popote walipofanikiwa kuiondoa na kuimaliza korona. Hizo chanjo zimekaa kisiasa na kibiashara tu. Mafua yana karne nzima mpaka leo hakuna kinga, ukimwi una nusu karne mpaka leo hakuna chanjo, halafu leo miezi 9 tunaambiwa Kuna chanjo ya korona! Rubbish!!
Njia na mbinu zinazopendekezwa kuchukuliwa kuepuka korona hazitekelezeki na zinaongeza tatizo. Tumeona maandamano na mabishano hata katika mataifa makubwa kama Marekani, Brazil, Ujerumani na kwingineko wananchi wanapinga makatazo na masharti mbalimbali ya kujikinga na korona yanayowekwa na viongozi wao.
Sasa watanzania wenzangu mnaoshinikiza na kumtaka JPM atoe tamko kuhusu korona naombeni mnijibu. Mnatakaje? Alishasema tumuachie Mungu. Sasa kelele za nini?
Hivi mnataka JPM atangaze kitu gani kifanyike hapa nchini ili kuizuia korona zaidi ya kumwachia Mungu?
Awafungie watanzania ndani? Hawa hawa watanzania wanaokula kwa kufanya umachinga na uchuuzi? Hawa hawa wanaolima na kuvuna ndipo wapate mlo? Hawa hawa wanaochunga mifugo yao kwa kuzunguka nayo maporini? Ulaya kuna zero grazing. Hapa Tanzania na nchi zote za Afrika tutauwa watu na mifugo kwa njaa.
Na ndiyo maana South Africa hali ilikuwa tete, na pale Kenya ulifanyika usanii tu wa kuzuia watu kutoka usiku, halafu mchana kutwa wako majiani. Usanii mtupu. Uganda wamejikanyaga wakashindwa. Usiitolee mfano Rwanda. Kale kanchi ni kadogo sawa na kisiwa cha Unguja ndiyo maana wanagawana gunia kumi za unga kwa siku na zinawatosha.
Halafu hii kunawa nawa, nayo pia ni ujinga tu. Unanawa halafu unaingia kwenye daladala kubanana? Mnashea kikombe cha maji ya kunywa nyumba nzima? Mnashea kete za bao, kopo la mbege, komoni na wanzuki? Acheni zenu bhana! BTW, kirusi kinauawa kwa kunawa? Sanitizer inauwa kirusi? Unazijua tabia za kirusi?
Virus is immortal. Why? This is because Virus is the RNA/DNA particle. Na ndiyo maana mpaka leo ukitaka DNA/RNA ya dinosaurs walioishi miaka milioni150 iliyopita utapata.
Mnataka atangaze watanzania wavae barakoa? Hawa hawa wanaokosa hata leso ya kufutia kamasi? Hawa hawa wanao omba mia tano ya kununua kipande cha muhogo?? Hapa tutasababisha mlipuko wa magonjwa mengine. Maana watu wanaweza kuvaa kitambaa mwezi mzima bila kukifua.
Tumuunge mkono JPM (simtaji kama mheshimiwa Rais kwa kuwa ushindi wake katika uchaguzi wa 2020 mpaka siku nakufa sitaukubali), lakini kwenye suala la korona namuunga mkono 100%.
Tuweke pembeni chuki na tofauti zetu zote za kila aina tuangalie uhalisia. Msimamo wa JPM katika suala la korona unaendana na uhalisia na ndiyo njia bora ya kuifuata. Hayo mataifa yanayojitia kuwafungia na kupiga sanitizer watu wake wamefanikiwa kiasi gani kujikinga na korona?
Halafu hivyo vifo Cha mmoja mmoja vinavyotokea mbona ni kidogo sana kuliko vile vya magonjwa kama malaria, TB, ajali, ukimwi, n.k?? Kwann hivi havihesabiwi??
Wewe mwenye unafuu wa maisha kaa ndani tuache walala hoi tuendelee kuzurura na kupengeana makamasi ili miili yetu ijenge kinga asili dhidi ya korona. (Kajisomee types of immunity, kuna natural na artificial).
Nimemaliza.
For my first time leo nimeona Sexless umeongea kitu chenye mashiko na si siasa. Wanasiasa wa Tanzania wangefikiri kama ulivyofikiri leo basi tungekuwa mbali lakini kinyume chake chake ni kuwa wao wanafikiri kwa ajili ya interest zao. Sio kila kitu kinachofanywa na serikali ni cha kupinga na si kila ushauri wa upinzani ni wa kupinga. Baya lisemwe na zuri lipongezwe. Kwenye ishu ya covid Magu yuko sahihi. Tujiulize jizo nchi walizojifungia wamefikia wapi na sisi tuliomwachia Mungu tumefikia wapiKorona haina tiba wala haina kinga. Njia zote zinazoshauriwa ili kujikinga na korona ni za dhahania na nadharia tu. Ndiyo maana hakuna mahala popote walipofanikiwa kuiondoa na kuimaliza korona. Hizo chanjo zimekaa kisiasa na kibiashara tu. Mafua yana karne nzima mpaka leo hakuna kinga, ukimwi una nusu karne mpaka leo hakuna chanjo, halafu leo miezi 9 tunaambiwa Kuna chanjo ya korona! Rubbish!!
Njia na mbinu zinazopendekezwa kuchukuliwa kuepuka korona hazitekelezeki na zinaongeza tatizo. Tumeona maandamano na mabishano hata katika mataifa makubwa kama Marekani, Brazil, Ujerumani na kwingineko wananchi wanapinga makatazo na masharti mbalimbali ya kujikinga na korona yanayowekwa na viongozi wao.
Sasa watanzania wenzangu mnaoshinikiza na kumtaka JPM atoe tamko kuhusu korona naombeni mnijibu. Mnatakaje? Alishasema tumuachie Mungu. Sasa kelele za nini?
Hivi mnataka JPM atangaze kitu gani kifanyike hapa nchini ili kuizuia korona zaidi ya kumwachia Mungu?
Awafungie watanzania ndani? Hawa hawa watanzania wanaokula kwa kufanya umachinga na uchuuzi? Hawa hawa wanaolima na kuvuna ndipo wapate mlo? Hawa hawa wanaochunga mifugo yao kwa kuzunguka nayo maporini? Ulaya kuna zero grazing. Hapa Tanzania na nchi zote za Afrika tutauwa watu na mifugo kwa njaa.
Na ndiyo maana South Africa hali ilikuwa tete, na pale Kenya ulifanyika usanii tu wa kuzuia watu kutoka usiku, halafu mchana kutwa wako majiani. Usanii mtupu. Uganda wamejikanyaga wakashindwa. Usiitolee mfano Rwanda. Kale kanchi ni kadogo sawa na kisiwa cha Unguja ndiyo maana wanagawana gunia kumi za unga kwa siku na zinawatosha.
Halafu hii kunawa nawa, nayo pia ni ujinga tu. Unanawa halafu unaingia kwenye daladala kubanana? Mnashea kikombe cha maji ya kunywa nyumba nzima? Mnashea kete za bao, kopo la mbege, komoni na wanzuki? Acheni zenu bhana! BTW, kirusi kinauawa kwa kunawa? Sanitizer inauwa kirusi? Unazijua tabia za kirusi?
Virus is immortal. Why? This is because Virus is the RNA/DNA particle. Na ndiyo maana mpaka leo ukitaka DNA/RNA ya dinosaurs walioishi miaka milioni150 iliyopita utapata.
Mnataka atangaze watanzania wavae barakoa? Hawa hawa wanaokosa hata leso ya kufutia kamasi? Hawa hawa wanao omba mia tano ya kununua kipande cha muhogo?? Hapa tutasababisha mlipuko wa magonjwa mengine. Maana watu wanaweza kuvaa kitambaa mwezi mzima bila kukifua.
Tumuunge mkono JPM (simtaji kama mheshimiwa Rais kwa kuwa ushindi wake katika uchaguzi wa 2020 mpaka siku nakufa sitaukubali), lakini kwenye suala la korona namuunga mkono 100%.
Tuweke pembeni chuki na tofauti zetu zote za kila aina tuangalie uhalisia. Msimamo wa JPM katika suala la korona unaendana na uhalisia na ndiyo njia bora ya kuifuata. Hayo mataifa yanayojitia kuwafungia na kupiga sanitizer watu wake wamefanikiwa kiasi gani kujikinga na korona?
Halafu hivyo vifo Cha mmoja mmoja vinavyotokea mbona ni kidogo sana kuliko vile vya magonjwa kama malaria, TB, ajali, ukimwi, n.k?? Kwann hivi havihesabiwi??
Wewe mwenye unafuu wa maisha kaa ndani tuache walala hoi tuendelee kuzurura na kupengeana makamasi ili miili yetu ijenge kinga asili dhidi ya korona. (Kajisomee types of immunity, kuna natural na artificial).
Nimemaliza.
Nina mhudumu wa afya ninayefahamiana naye yupo Uswisi, huwa ananipa taarifa kwamba kazi sometimes zinamuelemea kutokana na kufurika kwa wagonjwa wa covid ICU.For my first time leo nimeona Sexless umeongea kitu chenye mashiko na si siasa. Wanasiasa wa Tanzania wangefikiri kama ulivyofikiri leo basi tungekuwa mbali lakini kinyume chake chake ni kuwa wao wanafikiri kwa ajili ya interest zao. Sio kila kitu kinachofanywa na serikali ni cha kupinga na si kila ushauri wa upinzani ni wa kupinga. Baya lisemwe na zuri lipongezwe. Kwenye ishu ya covid Magu yuko sahihi. Tujiulize jizo nchi walizojifungia wamefikia wapi na sisi tuliomwachia Mungu tumefikia wapi
Yaani mkuu mm nasimamia nafsi na dhamira yangu ya ndani kabisa. Magu katisha ktk hili.Kwenye ishu ya covid Magu yuko sahihi.
Unataka kusema nn mkuu? Hebu funguka kidogo.Nina mhudumu wa afya ninayefahamiana naye yupo Uswisi, huwa ananipa taarifa kwamba kazi sometimes zinamuelemea kutokana na kufurika kwa wagonjwa wa covid ICU.
nilikuwa nakazia kwa Mkazamoyo kwamba hata huko ambako tunaamini hizo taratibu za kuzingatia kuhusu corona hali si hali, mambo bado moto, so ni vema tu kujichaguliwa namna ya kupambana na korona maisha yaendeleeeUnataka kusema nn mkuu? Hebu funguka kidogo.