Ina status ya kidangote mkuu. Billionnaire yule anahaki ya kuwa na simu kama hiyo. Wewe na mimi ya nini wakati tochi tu inatosha kuwasiliana. Leo sijui nitakula nini halafu simu ya bei mbaya ya nini!!!!Ina nini cha ziada?
Kuna Ngiri wanaamini simu Kuuuubwa ndio Expensive.
Na ndio maana matangazo ya biashara wanapewa watu maarufu na wenye pesa kutangaza.....ni sawa na kusema "igeni nguo za ma-superstar / Dangote"Mwengine atakuja ataanzisha uzi wake 'Igeni mavazi ya Dangote watanzania'
siwapendi watu wa huu mkoaWalionza kutumia touch screen 2013 utawajua tu.
Kumbe nokia torch..?! [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Inasemekana hii ndio simu anayotumia Bilionea Alahaji Aliko Dangote. Inaitwa Nokia Vertu Signature. Bei yake ni kati ya $5000 hadi $7500. Ukibadilisha kwa pesa ya madafu ni kama milioni 16.5Tsh hivi. Alhaji sio mtu wa ki-spoti spoti
View attachment 451927
Mfanyabiashara huyu raia wa Nigeria anamiliki kampuni tanzu ya mafuta inayofahamika kama Dangote Group yenye makao yake makuu nchini Nigeria.
Kufikia June mwaka 2016 kwa mujibu jarida la Forbers, alitajwa kuwa na ukwasi unaokadiriwa kufikia kiasi cha dola bilioni 15.1 akiwa amewekeza kwenye nchi mbalimbali barani Afrika ikiwemo Tanzania ambapo anamiliki Kiwanda cha kutengeneza ‘Cement’ kilichopo mkoani Mtwara.
Inategemea m 10 ya nchi gani.Kumbe humu duniani Kuna simu zinauzwa zaid ya million 10
Hata kama ni bei kubwa lakin sio 16m mkuu
nokia zinatimia window mkuuUkute simu gharama hivyo inatumia uchafu kama Android.
Vibaka wanaweza mkaba i seeView attachment 447156Vertu ndiyo simu ghali zaidi hivyo wacha atumie maana kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
Hahahahahajaja-Inauwezo wa kuwazuia watu wanaotaka kumdeep
-Ina uwezo wa kuzuia Number za watu maskini siziingie kwenye sim yake
-Inajiingiza salio yenyewe
Hehe hiyo hiyo unayoiona