Wengine wataendelea kutumia makubazi tu[emoji14]Umaskini ni kitu kibaya sana duniani, mtu anaona simu ya 16M eti ni kitu cha ajabu daaah, harafu anatumia IOS harafu anaita android takataka kisa Iphone na bei zake za kawaida sana tu wengi wanaweza ku afford, Kila mtu atakula kuringana anavyotafuta pesa ndo mwingine atatumia gari ya Billion 3 wengine ya milion 2 mpaka 3,
Hiyo simu inashika namba kumi kwa kuwa aghali namba moja ni Diamond Rose iPhone 4 32GB ambayo inauzwa kama dola 8 millionVertu ndiyo simu ghali zaidi hivyo wacha atumie maana kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.