alwatan yusuf
JF-Expert Member
- Nov 20, 2016
- 347
- 290
Kama yangu Nokia 1310Satellite
matusi ya pesa ndio hayoSasa mkuu simu ya kuuzwa pesa yote iko wapi hapo
-Inauwezo wa kuwazuia watu wanaotaka kumdeepIna nini cha ziada?
Then?Unaambiwa material used kumake hio kitu ni very expensive
Unayozungumzia sio hiyo Mkuu!Hiyo simu huwa inatengenezwa kwa mikono kifaa kimoja kimoja, haitengezwi kwa mashine kama hizi nyingine,
ndomana inauzwa bei kubwa
[emoji12] [emoji12] [emoji12]Aisee watu wana mafweza
Simu bayaaa... huyu dangote katapeliwa hapo kariakoo... hiyo simu ya elfu 30 tu tena unapewa na bundle la elfu 60 bure
Made by hand, sio hiyo tu mimi nini kiatu cha Gilberto Almani made by hand nilinunua milioni 1.Hiyo simu huwa inatengenezwa kwa mikono kifaa kimoja kimoja, haitengezwi kwa mashine kama hizi nyingine,
ndomana inauzwa bei kubwa
Kuna uzi nliona jamaa anadai ni ka simu ka bei cheeHiyo ndi simu ya Dangote, inaitwa Nokia Vertu Signature. Bei yake ni $5000-$7500. Convert kwa pesa ya madafu, km 16.5M/= hivi.......Alhaji sio mtu wa kisport sport
[emoji124]