Simu anayotumia bilionea Aliko Dangote

Simu anayotumia bilionea Aliko Dangote

Ukute simu gharama hivyo inatumia uchafu kama Android.
 
Hiyo ndi simu ya Dangote, inaitwa Nokia Vertu Signature. Bei yake ni $5000-$7500. Convert kwa pesa ya madafu, km 16.5M/= hivi.......Alhaji sio mtu wa kisport sport
[emoji124]


53fc17aaa5118967dfa728344c4a17ce.jpg
Kuna uzi nliona jamaa anadai ni ka simu ka bei chee
 
Back
Top Bottom