omaey ashiru
Member
- Dec 8, 2020
- 42
- 33
Habar wana jf,
Nataka kununua simu ya samsung mwaka huu ila hisiwe chini ya ram gb4 na internal storage gb64 ila iwe nzur kimuonekano na bei hisizidi 500k naombeni mnishauri kwa kunitumia picha na bei husika.
[emoji120][emoji120][emoji120]
Nataka kununua simu ya samsung mwaka huu ila hisiwe chini ya ram gb4 na internal storage gb64 ila iwe nzur kimuonekano na bei hisizidi 500k naombeni mnishauri kwa kunitumia picha na bei husika.
[emoji120][emoji120][emoji120]