Simu gani rahisi nayoweza kuingiza system ya kuchunguza location, kusoma meseji, call logs, screenshots, n.k. hata ikifanyiwa reset

round kick

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2025
Posts
345
Reaction score
1,145
Ni kwa madhumuni ya kiusalama, Nina mtoto nataka kumnunulia simu 😁

Nahitaji simu nayoweza kuchunguza location, kuchunguza mesej, call logs, n.k.
 
Technical simu ikiwa na root unaweza fanya app ikawa system app hata uki hard reset isitoke, so utahitaji root.

Ila inakuja Changamoto nyengine simu ikiwa na root unahitaji uelewa wa hali ya juu ikiwemo kutumia app kama magisk Alpha kuficha hio root na kudanganya safetynet kwamba simu bootloader haijakuja unlocked la sivyo app za benki, za miamala kama mpesa na hata sometime whatsapp zinaweza zisifanye kazi.
 
Changamoto ni hiyo app mkuu 😁😁😁.
Itaje mkuu kama unaifahamu.
 
Una moyo? Sio mnasaka matatizo na kuacha hamuwezi, mnapata na kiharusi juu.

Zipo app za kufanya hivyo, ila simu ikifanyiwe factory reset nayo inafutika.
 
Sasa si uache kumnunulia cm ili uwe na amani. Kwanini ujitese hivyo?
 
Changamoto ni hiyo app mkuu 😁😁😁.
Itaje mkuu kama unaifahamu.
App zipo nyingi za kutrack watoto hata playstore zipo, ukisearch tu parental control zinakuja.

Zipo apps nyengine kama mspy, ikeymonitor etc wanatumia kuspy wake zao na maboss kuspy wafanyakazi etc sema ni app za kiboya sana zinaiba data za mwenza wako na possibly zako, security zao za kiboya kila siku wanaibiwa data etc so usidhangae siku ukikuta picha za mwenza wako online zinatumika vibaya.
 
Ole wako tukuone kule MMU kulalamika wakati matatizo unayatafuta mwenyewe.
 
Jibu maridhawa kabisa, straight to the point

Ni simu gani rahisi kuroot na nitayoweza kupata tutorials zake youtube ama kwenye blogs kuanzia kuroot mpaka kuingiza system ya uchunguzi
 
Jibu maridhawa kabisa, straight to the point

Ni simu gani rahisi kuroot na nitayoweza kupata tutorials zake youtube ama kwenye blogs kuanzia kuroot mpaka kuingiza system ya uchunguzi
Google pixel, Samsung ambazo sio refurb, Xiaomi, Oneplus etc ni rahisi ku root.
 
Kuna app ipo playstore/istore inaitwa

PESA/HELA/SHEKELI

Ukiwa na app hiyo,, aaaah simalizii.
 
baada ya kuroot ni system / apps / rom zipi naweza kuziingiza ndani ?
Ukisharoot hicho ulichotumia kuroot let's say magisk, ndio inakua kama control panel yako ya kuruhusu. Unaweka module ya magisk kama systemize ambayo ina badili app kubwa system app, badili app yako husika.

Sio lazima kubadili rom.
 
Sure, nimeona hiki kitu ikabidi niswitch off kama developer.
Yah siku hizi ni full kuwindana, to be safe uwe na simu mbili, simu ya kazi yenye mambo yako serious na simu ya kuchezea, otherwise unashangaa unakula ban biashara zote zinasimama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…