Eeeh bhana Manzi angu anayekaa Dsm jana usiku simu yake ilikuwa inaita tu. Na amekuja kupatikana hewani leo Asubuhi nikamuuliza mbona ulikuwa hupatikani akajibu simu yangu ilidondokea kwenye maji ya Mchele . [emoji23][emoji23] Mapenzi ya mbali haya yana wenyewe asee