Hapana mkuu sio za mkopo hii imenunuliwa kabisa,sio zile za mkopo kweli
Chief-MkwawaMambo vipi wadau wa Jf habari za mida hii, naomba mnisaidie kidogo hapa mwenye kujua kidogo kuna simu ilikuwa vizuri tu ila baada ya kuona inagoma goma infinix SMART 7 HD Nika restart,
Imekuja kuwaka imekuja na maneno Your Device Is locked dah! nimejaribu kwenda kwenye Carlcare ili kuifungua nimekutana na vitu hivi natakiwa kuvijaza👇
-ID number
-Device IMEI
- Id card photo
- Invoice number
- invoice photo
-IMEI photo
-Flight number
-Boarding pass photo
Naomba msaada wenu wadau hasa Chief-Mkwawa nifanyeje🙏
Ngoja tumsubiri mkuu aje
Sijui mkuu unafanyaje yani simu haiendi sehemu nyingine kuna maneno yapo ningepiga picha ilaFanya factory reset
Ulishakutana na tatizo hilo mkuuJaribu kufanya hivi, zima cm yako
Bonyeza batan ya volome na kuzima cm yaani bonyeza batani zote, ikiwaka italeta maandishi fulani hivi soma kisha chagua sahihi, lkn pia inaweza isikubal
Simu ndo kinpengere maana hii ninyotumia nayo camera yake mbovuUjumbe kamili ni nini na kuna options gani? Piga picha kama vipi.
Exactly njia hii ni nzuri sana naunga mkono hojaJaribu kufanya hivi, zima cm yako
Bonyeza batan ya volome na kuzima cm yaani bonyeza batani zote, ikiwaka italeta maandishi fulani hivi soma kisha chagua sahihi, lkn pia inaweza isikubal
Umejigonga tu ukaingia sehemu isiyotakiwa ika-stuck sehemu. Simu haiwezi kuuliza vitu vyote hivi ili ku-restart. Hizi simu zisijui kabisa ila kwa nini usitumie google uone jinsi ya ku-resert? Au kuna hiyo ya kushikilia vi-buton viwili vya muda kama walivyokuambia.Mambo vipi wadau wa Jf habari za mida hii, naomba mnisaidie kidogo hapa mwenye kujua kidogo kuna simu ilikuwa vizuri tu ila baada ya kuona inagoma goma infinix SMART 7 HD Nika restart,
Imekuja kuwaka imekuja na maneno Your Device Is locked dah! nimejaribu kwenda kwenye Carlcare ili kuifungua nimekutana na vitu hivi natakiwa kuvijaza👇
-ID number
-Device IMEI
- Id card photo
- Invoice number
- invoice photo
-IMEI photo
-Flight number
-Boarding pass photo
Naomba msaada wenu wadau hasa Chief-Mkwawa nifanyeje🙏
Mambo vipi wadau wa Jf habari za mida hii, naomba mnisaidie kidogo hapa mwenye kujua kidogo kuna simu ilikuwa vizuri tu ila baada ya kuona inagoma goma infinix SMART 7 HD Nika restart,
Imekuja kuwaka imekuja na maneno Your Device Is locked dah! nimejaribu kwenda kwenye Carlcare ili kuifungua nimekutana na vitu hivi natakiwa kuvijaza[emoji116]
-ID number
-Device IMEI
- Id card photo
- Invoice number
- invoice photo
-IMEI photo
-Flight number
-Boarding pass photo
Naomba msaada wenu wadau hasa Chief-Mkwawa nifanyeje[emoji120]
Eeh mkuu hapo hapo ndo mimi namiil imeniletea we umefanyajeView attachment 2910566
View attachment 2910567
Tafadhali confirm kama ujumbe uliopo kwenye simu yako unaendana na ujumbe uliopo katika picha hizi
Confirm ndo sijui mkuuView attachment 2910566
Jinsi ya by ft see confirm ndp sijui mkuuView attachment 2910567
Tafadhali confirm kama ujumbe uliopo kwenye simu yako unaendana na ujumbe uliopo katika picha hizi
Eeh mkuu hapo hapo ndo mimi namiil imeniletea we umefanyaje