Simeone
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 905
- 1,002
WAKUU Natumia TECNO WX3
Jana kuna jamaa yangu kairestore sasa inaniomba ni SIGN IN GOOGLE EMAIL ACCOUNT ambayo ilikuwemo na haikuwa email yangu bila kuweka hiyo email imegoma kabisa kuvuka hii hatua!
Wakuu nasolve vipi hili ili kuirejesha katika hali ya kawaida?
Jana kuna jamaa yangu kairestore sasa inaniomba ni SIGN IN GOOGLE EMAIL ACCOUNT ambayo ilikuwemo na haikuwa email yangu bila kuweka hiyo email imegoma kabisa kuvuka hii hatua!
Wakuu nasolve vipi hili ili kuirejesha katika hali ya kawaida?