Phone4Sale Simu inauzwa

sio kila mtu ana afford za dukani, ndio maana pia kuna nguo za mtumba, pia hamna biashara salama kila biashara ni risk, ni kuwa makini na kupiga pucha kitambulisho na kuandikishana mkataba plus shahidi... ila hiyo iwe simu ys maana sio ununue kisim cha laki, laki mbili af utake mpeane mikataba
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…