Upscale Tanzania
Member
- May 8, 2018
- 75
- 34
zinakubali whatsapp 101%Hizo huwezi ku upadate ios( operation system ya apple)
Ina ios hado version 7.
Zinakibali whatsapp kweli?
mimi natumai iphone4G toka mwaka 2012naogopa sana kufuta whatsappzinakubali whatsapp 101%
zinakubali instagram 101%
mkuu usiseme kitu ambacho huna uhakika nacho! ni dhambi.
simu zipo dukani na risiti unapewa.Jeshi la pilisi limeshatutahadharisha kuwa tuepuke kununua simu kama hizo kwa MTU. Kwa sababu zimepatikana kwa mauaji,
pole mkuu kama ulipata iliyokusumbua, sisi tunakaupa na garantii ikisumbua utabadilishiwa na kupewa ingine.Zinazingua sana hizo
Kwa hyo ukifuta simu inaweza kushibdwa kuinstall Tena...?mimi natumai iphone4G toka mwaka 2012naogopa sana kufuta whatsapp
Fact kuna mshikaji wangu mmoja mwezi uliopita amegongwa fine hovyo around 3 milions akinunua simu kwa mtu asiyemjua wakaanza kuitrace wakamkuta nayo akaambiwa ili asalimike awaoneshe aliye muuzia kumbe hata hamjui ndo kalimwa hiyo 3mil na police.HATARI SANA KUNUNUA SIMU MIKONONI MWA WATU SI WOTE WEMAJeshi la pilisi limeshatutahadharisha kuwa tuepuke kununua simu kama hizo kwa MTU. Kwa sababu zimepatikana kwa mauaji,
Whatsapp apps inakubali ios 9 kwenda juu.Kwa hyo ukifuta simu inaweza kushibdwa kuinstall Tena...?
sio kweli.iphone 3,4,5,6 kama iPOD tu kwa sasa...
6+ ,6s na kuendelea hadi Xs ndio simu...
mkuu mimi nafanya jokes tu,no hard feelings bro!sio kweli.
I phone 3G,4G na 4s ndio makopo.
Ila iphone 5s kwenda juu bado ziko poa na unaweza ku update features zote na current ios
sio kweli simu tunazouza zinakubali whatsapp na apps nyingi tu na OS version, na iphone zetu ziko updated kuna ambazo ios 8 na nyingine ios 9Whatsapp apps inakubali ios 9 kwenda juu.
Hii simu apple wameshaifutilia mbali mwisho wake ni ios 7.
Ila nunueni ili na nyie mmiliki iphone.
Hapa ni JF. Tunaelezana ukweli hatuharibiani biashara.
Kwa vile muuzaji kashasema inakubali whatsapp sikatai kwa sababu na mm natumia whatsapp ila hitakuwa na video call.
Muuzaji na hapo nadanganya?
Kwa hiyo muuzaji ni kweli kuwa iOS huwezi kui update?
Pole mkuu ni vizuri umesema hiyo simu ni iPhone 4 sio iPhone 4S , iPhone 4S tena ikiwa na iOS 8 au ios 9 haina tatizo hilo.Mwenyewe nina Iphone 4 IOS version 7.12 nilipoteza laini imegoma kabisa ku register line mpya.NO WHATSAPP
Ninayo kama tochi tu hapa
Asante mkuu kwa kutusanua nilishachukua namba nimcheki jamaa kumbe famba basi bwana subiri tukomae tu na SumsungWhatsapp apps inakubali ios 9 kwenda juu.
Hii simu apple wameshaifutilia mbali mwisho wake ni ios 7.
Ila nunueni ili na nyie mmiliki iphone.
Hapa ni JF. Tunaelezana ukweli hatuharibiani biashara.
Kwa vile muuzaji kashasema inakubali whatsapp sikatai kwa sababu na mm natumia whatsapp ila hitakuwa na video call.
Muuzaji na hapo nadanganya?