Poa mwanangu nitakuja kuzicheck tuonesio kweli simu tunazouza zinakubali whatsapp na apps nyingi tu na OS version, na iphone zetu ziko updated kuna ambazo ios 8 na nyingine ios 9
kuhusu video call ya whatsapp zinakubali pia inawezekana ume install old version ya whatsapp kwenye simu yako old version ambayo haikubali hata web whatsapp
Whatsapp apps inakubali ios 9 kwenda juu.
Hii simu apple wameshaifutilia mbali mwisho wake ni ios 7.
Ila nunueni ili na nyie mmiliki iphone.
Hapa ni JF. Tunaelezana ukweli hatuharibiani biashara.
Kwa vile muuzaji kashasema inakubali whatsapp sikatai kwa sababu na mm natumia whatsapp ila hitakuwa na video call.
Muuzaji na hapo nadanganya?
wewe ni mnafiki, mara asante kwa kutusanua mara nitakuja dukani, watu wengine mpo kuharibu tu biashara au nyuzi za watu. simu zetu ni ios 8 na ios 9 zinakubali apps nyingi muhimu. simu tunauza zaid ya moja kama kuna shida ya kawaida unarudisha unapewa ingine.Poa mwanangu nitakuja kuzicheck tuone
mkuu simu zetu ni ios 8 na ios 9 zinakubali apps nyingi na hata video call za whatsapp zinakubali. sidanganyi sisemi uongo, njoo ununue mwenyewe na utajionea.haina video call..ht insta zingne zmegomaga..ila ina picha nzuri,,na mm nilikuwa nayo
dukani kwako mm kweli nakujua.wewe ni mnafiki, mara asante kwa kutusanua mara nitakuja dukani, watu wengine mpo kuharibu tu biashara au nyuzi za watu. simu zetu ni ios 8 na ios 9 zinakubali apps nyingi muhimu. simu tunauza zaid ya moja kama kuna shida ya kawaida unarudisha unapewa ingine.
Karibu mkuu, bei ni hiyo Tsh 180,000/- haipungui mkuu karibu tena.dukani kwako mm kweli nakujua.
nilifika siku moja kuchukua ,ila haikuwa na cable ya charge , wewe hukuwepo nilimkuta dogo flani hivi;
hakuna punguzo kidogo ?
Kuhusu kupokea ios 12 inakubali?zinakubali whatsapp 101%
zinakubali instagram 101%
mkuu usiseme kitu ambacho huna uhakika nacho! ni dhambi.
Unasemaje?iphone 3,4,5,6 kama iPOD tu kwa sasa...
6+ ,6s na kuendelea hadi Xs ndio simu...
no i am not sure, hata hivyo ios 12 ya nini wakati simu inakupa kila unakichotaka. Karibu simu ni uzuri na utakua mshahid mzuri.Kuhusu kupokea ios 12 inakubali?
😂😂eti ios 12 ya nini?no i am not sure, hata hivyo ios 12 ya nini wakati simu inakupa kila unakichotaka. Karibu simu ni uzuri na utakua mshahid mzuri.
Ndo maana version ndogo za zamani zinagoma whatsapp na app zingine!no i am not sure, hata hivyo ios 12 ya nini wakati simu inakupa kila unakichotaka. Karibu simu ni uzuri na utakua mshahid mzuri.
😂😂eti ios 12 ya nini?
Hoja yako haijashiba mkuu! Huoni umuhimu wa simu kuwa na current version?
Ok mkuuJe wewe hiyo simu unayotumia ina latest version ya os kama ni latest android au latest ios au latest windows??
Devices vingi tu vya apple hazina hiyo latest version ya ios 12 ambayo ndio imetoka tu mwezi wa September 2018 na bado vinapiga kazi vizuri tu
Lakini hizi Iphone 4S tunaziuza kwa bei ya offer kwa tsh 180,000/- na zina ios 9 ambayo inakubali apps nyingi karibia zotemuhimu na nyinginezo
Je wewe hiyo simu unayotumia ina latest version ya os kama ni latest android au latest ios au latest windows??
Devices vingi tu vya apple hazina hiyo latest version ya ios 12 ambayo ndio imetoka tu mwezi wa September 2018 na bado vinapiga kazi vizuri tu
Lakini hizi Iphone 4S tunaziuza kwa bei ya offer kwa tsh 180,000/- na zina ios 9 ambayo inakubali apps nyingi karibia zotemuhimu na nyinginezo
unamaanisha nini mkuu? simu zetu hazina shia na watu wananunua. Karibu nawewe ununue.If deal is too good, think twice!!!
mkuu kusudio ya biashara ni faida ili iendelee kuwepo, sasa biashara uuze kwa sadaka tena? Nipo hapa kujibu maswali yoyote yale, na hata uuze kwa pesa kiasi gani bado maswali yatakuwepo tu mkuu wangu.Kwanini usiuze bei ya sadaka tu hata,laki laki ili kukwepa maswali maswali mengi???
wewe ni mnafiki, mara asante kwa kutusanua mara nitakuja dukani, watu wengine mpo kuharibu tu biashara au nyuzi za watu. simu zetu ni ios 8 na ios 9 zinakubali apps nyingi muhimu. simu tunauza zaid ya moja kama kuna shida ya kawaida unarudisha unapewa ingine.
zima data mkuu wangu na zima 3g network ukiwa huitumii, use edge network ukiwa hutumii data, inasaidi simu kukaa na chaji muda mrefu.Dah mie nilinunua hapo kwenu 4s ya GB 16 ina iOS ya 9
Tatizo ni betri tu rafiki
Charger mlinipatia Kwa Elfu 5
Yeah Apps zote nazotumia ktk IPhone 7 Yangu karibia zote zilikubali isipokuwa 1 tu
Azam - ambayo inataka simu iwe na ios ya 10