jamani niliahidi nitarudi na majibu,baada ya kazi ngumu ya ushawishi na kufuatia na mistari ya biblia na nikisaidiwa na mwenye kutenda kosa kwapande wake alikuwa mpole sana ila ukweli alisema hajawahi kumpa penzi,na alisema swala la kumuita mume ni huyo jamaa kuwa king'ang'anizi kuwa ipo siku atampata tu,hivyo akawa anamwita mke wangu,tangu waanze hayo mawasiliano ni miezi sita imepita,na walishawahi kuonana mara mbili tu mlimanicity na engen petrolstation mbezi beach ambayo ndo siku alikuta jamaa yupo na gari ya kumuhonga akaikataa, na sikunyingine ndo hiyo ya jmosi walikuwa waonane mwenge lakini ndo simu ikajipiga kwa mume mtu mambo yakatibuka,alijuta na alisema hatakaa arudie tena katika maisha yake ameumbuka vya kutosha,na jamaa amemwambia akirudia hukumu ndogo sana ni kifo,hivyo wamesameheana sijui sasa kama litaibuka lingine ila jamaa anampenda sana mke wake,asanteni sana kwa ushauri wenu