Unakuta simu Ina sifa nzuri ukiangalia nyuma makamera utitiri, yani kipangiliyo kamera nyingi Iko hovyo sana sababu ya kamera nyingi ni nini kama Kuna umuhimu haziwezi kukaa ndani ya camera Moja kama DSLR, kamera Moja inatosha muiongezee nguvu sijui kama mnanisikia design ya simu kama 1plus 12 , 13 nyumba ni mbovu lakini simu inavutia kweli.
Simubovu muundo utafikiri ya kizamani yalikiwa na mvimbo nyuma manokia na ya Yale ya Sony k7 nadhani uwekaji wa kamera nyingi haufai kabisa
Simu zenye kamera nyingi na zinavutia kwa nyuma ni apple, Samsung A14, 15, S23, SONY 1 IV, V.
HOT 50 PRO.
HOJA KWANINI MAKAMERA MENGI KWENYE SMARTPHONE FAIDA NI NINI ALAFU POOR DESIGN NYUMA
NIMEANDIKA VIBAYA NIKO KWENYE BASI LA ZUBERI MPAKA KUKUCHE
Simubovu muundo utafikiri ya kizamani yalikiwa na mvimbo nyuma manokia na ya Yale ya Sony k7 nadhani uwekaji wa kamera nyingi haufai kabisa
Simu zenye kamera nyingi na zinavutia kwa nyuma ni apple, Samsung A14, 15, S23, SONY 1 IV, V.
HOT 50 PRO.
HOJA KWANINI MAKAMERA MENGI KWENYE SMARTPHONE FAIDA NI NINI ALAFU POOR DESIGN NYUMA
NIMEANDIKA VIBAYA NIKO KWENYE BASI LA ZUBERI MPAKA KUKUCHE