Simu nyingi za Used from Dubai zinapata moto haraka sana

Simu nyingi za Used from Dubai zinapata moto haraka sana

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Nimeona watu wengi wanalalamika juu ya simu used from Dubai hususan Google Pixel na Aquos kupata moto

Zimekua na tabia ya kupata moto hovyo sana, yaani inapata moto kidogo tu mpaka inagoma kushoot camera kupiga picha au kurekodi video

Hii imekua common kwa simu za Aquos na Google pixel ambazo ni used

Pia zinakula bando balaa yaani zinabugia haswa, kwahyo ukiwa unanunua simu used zingatia hilo
 
Nimeona watu wengi wanalalamika juu ya simu used from Dubai hususan Google Pixel na Aquos kupata moto

Zimekua na tabia ya kupata moto hovyo sana, yaani inapata moto kidogo tu mpaka inagoma kushoot camera kupiga picha au kurekodi video

Hii imekua common kwa simu za Aquos na Google pixel ambazo ni used

Pia zinakula bando balaa yaani zinabugia haswa, kwahyo ukiwa unanunua simu used zingatia hilo
Wanasema nj Used Dubai au Refurbished kumbe ni used hapa hapa bongo
 
Back
Top Bottom